JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

ACT Wazalendo kujadili jinsi ya kupiga kura kwa nafasi ya rais

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitafanya kikao cha dharura leo usiku, kujadili ni namna gani wanachama wa chama hicho watapiga kura ya rais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Hatua hiyo inatokana na maamuzi ya Mahakama Kuu Masjala ya…

Wenje :Nimegundua usichokijua ni usiku wa giza

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje, amesema kuwa katika kipindi chake cha siku tatu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amebaini mambo mengi kuhusu maendeleo yaliyotekelezwa na Serikali. Amesema kuwa awali alipokuwa nje ya chama hicho,…

Dk Samia leo kurindima Bukoba Mjini

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa wa kampeni mjini Bukoba, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake mkoani Kagera ambayo imepata mwitikio mkubwa wa wananchi….

Othman Masoud aahidi kupitiwa upya fidia za wananchi ujenzi uwanja wa ndege Pemba

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kuboresha na kuhakikisha haki za wananchi zinaheshimiwa katika utolewaji wa fidia kwa wale waliopoteza ardhi zao kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba. Alizungumza hayo…

SAU kushughulikia changamoto ya maji ikishinda uchaguzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza  Mgombea kiti cha Urais kupitia chama cha Sauti ya Umma(SAU),Majalio Kyara,amesema endapo  chama hicho kitashika dola katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,mwaka huu,jambo la kwanza atahakikisha  kila mtanzania anafikiwa na  maji na huduma hiyo…