JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

ACT Wazalendo yapinga matokeo ya ubunge jimbo la Mbarali

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia Chama cha ACT Wazalendo kimesema hakikubaliani na matokeo ya ubunge yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kutangazwa jana na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbarali  Missana  Kwangura . Kauli hiyo ilitolewa na Katibu…

Jenista awataka wananchi Kata ya Mtyangimbole Songea kumchagua mgombea udiwani CCM

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Madaba Songea. Wananchi wa Kata ya Mtyangimbole, Kijiji cha IKalangiro kilichopo Wilaya ya Songea Vijijini wametakiwa kutofanya makosa katika marudio ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo utakaofanyika Septemba 19, mwaka huu na kuombwa kumchagua…

Wananchi wa Mbarali na kata sita kawasikilizeni wagombea, mpige kura

Na Mroki Mroki, JamhuriMedia Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Septemba 19,2023 kuwa ni siku ya kupiga kura katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Mbarali na Kata sita (6) za Tanzania Bara. Tume ilitangaza uchaguzi huo baada ya kuketi katika…

Ofisi ya Msajili vyama vya siasa yakutana na ACT – Wazalendo

Kaimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar ambaye pia na katibu wa Habari na Uenezi Chama cha ACT Wazalendo Salim Biman ameuongoza ujumbe wa chama hicho katika kikao cha pamoja kati ya ACT – Wazalendo na ujumbe wa Msajili wa Vyama vya…

UVCCM Zanzibar yamshauri msajili kukifuta chama cha ACT-Wazalendo

Na Is- Haka Omar, JamhuriMedia, Zanzibar UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Zanzibar,umemshauri Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi,kufuta usajili wa Chama cha ACT-Wazalendo kutokana na kufanya siasa za chuki,fitna na kumdhalilisha Rais wa Zanzibar Dk.Hussein…