JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2024

TMA yapongezwa kwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Morogoro Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), wamekutana kupitia kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa TMA kilichofanyika katika ukumbi wa NSSF, Morogoro Aprili 30, 2024, kwa lengo la kufanya tathmini ya utendaji kazi wa…

Mndolwa : Miradi mingi ya umwagiliaji inatekelezwa kwa kipindi cha miezi 18

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa amesema miradi mingi ya umwagiliaji inatekelezwa kwa kipindi cha miezi 18, hivyo kukamilika kwa ujenzi na ukarabati wa skimu zinazoendelea kujengwa katika kipindi cha mwaka 2022/2023…

Majaliwa : Serikali kuimarisha kilimo cha umwagiliaji kwa kuongeza bajeti

WAZIRI Mkuu Kassimu Majaliwa amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mahsusi za kuimarisha kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga miundombinu na kuongeza bajeti. Aidha amezielekeza Halmashauri zote nchini kuweka mpango mahsusi wa ardhi kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji. Majaliwa aliyasema…

Kambole awaponza Yanga, wafungiwa kusajili

Na Isri Mohamed Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeifungia klabu Yanga Sc ya Tanzania kusajili mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wake Lazarus Kambole baada ya mchezaji huyo kushinda kesi ya madai dhidi ya klabu hiyo. Taarifa ya shirikisho…

Bohari ya dawa nchini Tanzania yavutia Sierra Leone kujifunza namna ya utoaji huduma bora

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia Dar es Salaam Bohari ya Dawa Nchini Tanzania (MSD) imepokea ujumbe kutoka Bohari ya Dawa ya Sierra leone uliokuja kujifunza namna ya kuboresha mifumo ya utoaji wa huduma ya dawa nchini kwao . Akizungumza Aprili 29 ,2024…

Bashungwa : Barabara zote zilizoathiriwa na El Nino kufunguliwa kwa wakati

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara. Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS)…