Felix Wazekwa alitumia ndumba kuvuta mashabiki wa muziki
MOSHY KIYUNGI Félix Wazekwa ni mwanamuziki mwenye mbwembwe wakati akiwa jukwaani, akiimba huku akiongoza safu ya wanenguaji. Mtindo wa unenguaji wanaoutumia ni wa aina yake, ambao haulingani na mitindo mingine yoyote ya wanamuziki wa huko Jamhuri ya Kidemkrasia ya Kongo (DRC). Majina yake kamili anaitwa Feleix Nlandu Wazekwa S’Grave. Alizaliwa Septemba 1, 1962 katika jiji…