JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Prof. Shemdoe akabidhi hundi ya bil 2.761/- kwa wanufaika wa mkopo Tanga

Na James Mwanamyoto – Tanga Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekabidhi hundi yenye thamani ya Bilioni 2.761 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu vilivyonufaika…

Mchengerwa aipa miaka mitatu kumaliza changamoto ya Watanzania kutibiwa saratani nje ORCI

Na John Mapepele Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameitaka Bodi ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (0RCI) kujiwekea mkakati wa kuhakikisha katika kipindi cha miaka mitatu hakuna mtanzania yoyote anayekwenda kutibiwa saratani nje ya nchi kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa…

Rais Samia apokea tuzo tatu za utalii za World Travel Awards

Tuzo hizo zimetolewa na Taasisi ya World Travel Awards (WTA) yenye Makao Makuu yake Jijini London, Uingereza.

Ajira za wazawa migodini zaongezeka kufikia asilimia 97

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Ajira kwa Watanzania katika miradi ya madini zimeendelea kuongezeka kwa kasi, zikipanda kutoka ajira 6,668 sawa na asilimia 95 mwaka 2018 hadi kufikia ajira 18,853 kati ya ajira 19,356 sawa na asilimia 97 kufikia Desemba…

Waziri Kombo aweka jiwe la msingi ujenzi jengo la mafunzo kwa watumishi wa umma

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) ameweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa Jengo la mafunzo kwa watumishi wa Umma katika Chuo cha Utawala wa Umma (IPA)…