Category: MCHANGANYIKO
Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kusini akimbilia CCM
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mjumbe wa Kamati Kuu, Abeid Mayala amejiondoa kwenye chama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mayala amejiunga na CCM wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea urais wa chama,Samia Suluhu Hassan kwenye…
Tanzania kubeba sauti ya Afrika COP30, Nishati Safi yapewa kipaumbele
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma TANZANIA kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba sauti ya pamoja ya vipaumbele vya Bara la Afrika wakati wa Mkutano wa 30 wa…
Utekelezwaji mradi wa HEET umechochea ubunifu na maendeleo endelevu sekta ya elimu ya juu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimesema utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Uchumi wa Kidigitali (HEET) umefungua ukurasa mpya wa mageuzi katika elimu ya juu nchini, ukichochea ubunifu, utafiti…
Zuhura Yunus : Wakulima kuweni mabalozi wa mafunzo ya kukuza ujuzi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Zuhura Yunus amewataka wakulima Wadogo na wasindikaji wa zao la Zabibu kuwa mabalozi wa mabadiliko chanya ili kukuza ujuzi wa kuongeza thamani ya…





