JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kairuki aagiza TTCL kuongeza kasi ya kuunganisha wananchi kwenye uchumi wa kidijitali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeliagiza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na taasisi zote zinazosimamia miundombinu ya mawasiliano kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi, taasisi za Serikali na sekta binafsi kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ili kuhakikisha Watanzania wengi zaidi…

TNCM yaidhinisha ombi la Tanzania ufadhili wa mzunguko wa nane mfuko wa dunia kwa kipindi cha 2027 -2029

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (Tanzania National Coordinating Mechanism – TNCM), imeidhinisha rasmi Ombi la Tanzania la Ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko…

DC Mapunda : Tamaa ya maisha ya haraka yawaingiza vijana kwenye biashara ya dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amesema sababu kubwa inayowasukuma baadhi ya vijana kujihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya ni tamaa ya kuishi maisha ya kifahari yasiyolingana na kipato chao, baada ya…

Mkandarasi Bwawa la Kidunda atahadharishwa kujiandaa na mvua za El Nino

Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa bwawa la Kidunda ametahadharishwa na uwezekano wa uwepo wa mvua za El Nino. Mwenyekiti Bodi ya Maji ya Taifa, Bwn. Suffian Ally ametahadharisha kwa mkandarasi kampuni ya Sino Hydro Corporation kuzingatia kwa karibu utabiri wa hali…

Serikali yazindua mradi wa mikopo nafuu ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini

📌 Mradi unatekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kupitia Benki ya AZANIA 📌 Lengo la Mradi ni kupunguza kwa kiwango kikubwa biashara hatarishi ya kuuza mafuta kwenye chupa za plastiki na vyombo visivyokidhi viwango vya usalama 📌 Wanufaika nane…