JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mbeya waimarisha ulinzi na usalama

Kuelekea uchaguzi Mkuu, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limejipanga vizuri kuhakikisha Amani, Utulivu na Usalama vinatawala muda wote. Akizungumza mara baada ya kufanya doria za Magari, Miguu na Mbwa wa Polisi kuzunguka maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya, Kamanda…

Minara 741 kati ya 758 ya mawasiliano vijijini inatoa huduma

Hadi kufikia tarehe 23 Oktoba, 2025 Serikali ya Awamu ya Sita, kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), ilikuwa imekamilisha ujenzi wa minara 741 kati ya minara 758 iliyopangwa kujengwa katika kata 713 nchini. Mradi ambao unalenga kunufaisha vijiji 1,407…

Mgeja awapa angalizo Watanzania, Dk Samia anatosha

“Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama Kada wa chama cha Mapinduzi na Mwanasiasa mkongwe nchini Khamisi Mgeja amewatahadhalisha watanzania wasifanye makosa kufanya majaribio ya kuchagua wagombea uraisi ambao hawana uzoefu wa kiuongozi na hawajawahi kufanya kazi yeyote hata za serikali za…

Kihongosi : Ilani ya CCM imebeba matumaini ya Watanzania

KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Kenani Kihongosi amesema katika uchaguzi mkuu mwaka huu chama hicho ndicho chenye Ilani bora kuliko kipindi chochote kile kwani imebeba matumaini ya Watanzania nchini. Akizungumza leo Oktoba 27,2025 mbele ya Jukwaa…

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wakisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa ustawi wa taifa na ibada halisi kwa Mungu….