Category: MCHANGANYIKO
Airtel Tanzania yazindua maduka 17 ya Smart Shops Dar, kukuza huduma za kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini, imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam. Maduka haya ni sehemu ya mtandao wa maduka 31 nchini kote, ukiwa na…
Kamati ya Bunge TAMISEMI yataka fedha kuongezwa kukamilisha barabara za Pichandege -SGR na Kongowe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeielekeza Serikali kuongeza fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Pichandege–Sofu–Bokomnemela kutokana na umuhimu wake katika kurahisisha usafiri wa wananchi kuelekea Stesheni ya SGR….
Tanzania yashiriki mkutano wa Umoja wa Afrika masuala ya wanawake na jinsia Mkutano wa CSW 70
Na WMJJWM-New York Marekani Tanzania imeshiriki Mkutano wa masuala ya Jinsia na Wanawake wa nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kando ya Mkutano wa 70 wa Hali ya Wanawake Duniani unaendelea jijini New York nchini Marekani kwa lengo la…
Mbarawa aipongeza TASAC
N Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limepongezwa kwa mafanikio na kuwaleta wadau mbalimbali pamoja na watoto yatima na kuwapatia Iftar . Akizungumza katika hafra ya Iftar na dua iliyoandaliwa na TASAC kwenye…
Wanawake watatu wapata fursa ya kupandikizwa mimba bure kituo cha Kairuki (KGIVF)
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAWAKE watatu wamebahatika kupata fursa ya kupandikiza mimba bure katika kituo cha kupandikiza mimba cha Kairuki Green IVF (KGIVF), Kilichoko Bunju A Mianzini jijini Dar es Salaam. Walipata fursa hiyo jana jioni wakati…
Dk Mataragio : Miradi sekta ya mafuta asilia ikamilike kwa wakati
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha kuwa miradi ya mafuta na gesi asilia inayoendelea nchini inatekelezwa na kukamilika kwa wakati ili…





