JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mbunge Asha Moto aipongeza Serikali-uwekezaji gesi asilia

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mtwara, Mhe. Asha Moto, amepongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza katika sekta ya gesi asilia kupitia TPDC, alisema uwekezaji huo unachangia ukuaji…

Kikwete ateta na Ban Ki- Moon kuboresha elimu duniani

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari (Dkt) Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Ban Ki-moon, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu kukuza elimu ya awali na msingi duniani kupitia Taasisi ya Kimataifa…

WSIS 2026 yataitambua Tanzania kwa kuwafikishia watu mawasiliano

Na Prosper Makene Geneva, Uswisi, Julai 09, 2026 – Tanzania imepewa heshima ya kimataifa baada ya kutunukiwa Tuzo ya WSIS Prizes 2026 kutokana na mafanikio ya mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano. Mradi huo umefanikiwa kupeleka huduma za…

Dk Mlimuka aridhishwa na utendaji wa FCC maonesho ya Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani (FCC), Dkt. Aggrey Mlimuka, ametembelea banda la FCC katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), yanayoendelea katika Viwanja vya Julius Nyerere,…

NSSF: Wananchi waliojiajiri jiungeni, jiwekeeni akiba kwa kesho yenye uhakika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam, Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo ili kujijengea akiba, kupata kinga ya kijamii na kuwa na uhakika wa maisha ya sasa…

Gavana BOT: Maonesho ya Sabasaba yamekuwa chachu ya biashara na ukuaji wa uchumi

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) amepongeza mafanikio yanayoendelea kupatikana katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema yameendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara, uwekezaji na uchumi wa Taifa. Akizungumza leo Julai…