Category: MCHANGANYIKO
Zanzibar kujenga Taasisi ya Saratani
Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Mngereza Mzee Miraji, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepanga kuanza ujenzi wa Taasisi ya Saratani Zanzibar mwaka huu, ujenzi ambao unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miaka…
Katibu Mkuu Dk Muyungi awakaribisha wadau usafiri wa kutumia umeme
Na Mwandish Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amesema kuwa Serikali inatambua jitihada za wabunifu wa nyenzo mbalimbali zinazosaidia kupunguza gesijoto inayotokana na matumizi ya mafuta kwenye vyombo vya moto. Alisema…
Polisi kuweka jitihada za kununua mbwa wapya wenye kumdhoofisha mhalifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amesema Jeshi la Polisi litaendelea kuweka jitihada za kununua mbwa wapya wa kisasa na wenye uwezo ili kuboresha muonekano wa mbwa wa Polisi mwenye…
Msajili hazina aikaribisha Jeune Afrique Media Group kuangazia fursa za uwekezaji
Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw.Frederic Van de vyver Mkuu wa Jeune Afrique Media Group, kampuni inayoongoza ya habari ya ki-panafrika yenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa. Katika mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi…





