Category: MCHANGANYIKO
Nyumba za ibada ziwe chanzo cha mshikamano na amani kwa taifa- Dk Kijaji
Mbunge wa Jimbo la Kondoa ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), amesisitiza kuwa nyumba za ibada zinapaswa kuwa sehemu ya kuimarisha mshikamano, umoja na amani miongoni mwa wananchi na si kuwa chanzo cha…
Wizara ya Afya yaelekeza mikakati mipya kuwafikia watoto
Na Mvuda Jaffer, WAF-Dar es Salaam Wizara ya Afya imezitaka Mikoa na Halmashauri nchini kuimarisha huduma za chanjo kwa kubuni mbinu mpya za kuwafikia watoto ambao hawajapata chanjo kabisa (zero-dose) au ambao hawajakamilisha ratiba za chanjo, ili kuongeza kinga dhidi…
JK aongoza GPE kupanua wigo wa elimu kwa watoto duniani
Rais Mstaafu Jakaya Dkt. Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education – GPE), ameendelea kuwa kinara katika kuhamasisha jitihada za upatikanaji wa fedha za kugharamia elimu…
Kafulila aeleza namna ya ongezeko la watu linavyoathiri uchumi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulila, amesema kasi kubwa ya ongezeko la watu nchini ni miongoni mwa changamoto zinazoathiri ukuaji wa uchumi na kiwango cha kipato cha mtu mmoja…
Maponga: Watanzania lindeni tunu ya amani yenu, epukeni vishawishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Watanzania wameaswa kuwa makini na baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), wanaharakati na wanasiasa wanaodaiwa kutumia fedha kutoka mataifa ya nje kuhamasisha vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani, umoja na mshikamano wa taifa. Rai hiyo…





