Category: MCHANGANYIKO
DED Regina: Hakuna wanafunzi wanaosoma kwenye madarasa yaliyoezuliwa paa Kibaha
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, imekanusha taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa JamiiForums ikidai kuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ruvu Station wanasomea katika madarasa yaliyoezuliwa paa. Regina Bieda alifafanua…
Prof. Shemdoe aelekeza kusimamishwa kazi watumishi 14 wanaotuhumiwa kwa ubadhirifu wa fedha Muheza
Na OWM – TAMISEMI, Muheza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Kwa mujibu wa Kanuni ya 37(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2022, amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza…
Dk Mwigulu aitaka Wizara ya Fedha kuwezesha miradi ya barabara zilizosainiwa
……………………………….. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya fedha kuharakisha upatikanaji wa fedha ili kuiwezesha Wizara ya ujenzi kuanza ujenzi wa miradi ya barabara zilizosainiwa. Amesema hayo wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro alipokagua barabara…
Dk Mwigulu : Msipore ardhi za wananchi kwa kigezo cha uwekezaji
*Asema msimamo wa Rais Dkt. Samia ni maendeleo na uwekezaji WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Serikali wasipore ardhi za wananchi kwa kigezo cha uwekezaji kwani msimamo wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuwa kinara katika maendeleo…
TEWW yatakiwa kuimarisha nidhamu na uwazi katika utekelezaji wa majukumu
Na Farida Mangube, Morogoro Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) imetakiwa kuimarisha misingi ya nidhamu, uwajibikaji na uwazi katika utekelezaji wa majukumu yake ili iendelee kuwa chachu ya maendeleo ya elimu endelevu nchini. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Elimu…





