Category: MCHANGANYIKO
Umeme vitongojini wachochea uchakataji mazao Katavi
📌Wakandarasi watakiwa kuacha maneno, ahadi na michakato wamalize mradi kwa wakati 📌Bilioni 57.3 kupeleka umeme vitongoji 358 mkoani Katavi 📌Ajira kupewa kipaumbele 📍Katavi Imeelezwa kuwa mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Awamu ya Pili B (HEP 2B) unakwenda kuongeza…
Serikali yapongeza Kituo cha Kairuki Green IVF kwa mtambo mpya wa kusaidia upandikizaji mimba
……..Yaahidi kuendelea kushirikiana na KHEN kuenzi maono ya Kairuki Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dk Seif Shekalaghe, amezindua mtambo mpya wa kisasa wa teknolojia ya Laser ambao utasaidia kwenye uchambuzi wa viini…
Dk Mwigulu amkabidhi Nanauka hundi ya bilioni 200/-
*Ni utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia ndani ya siku 100 tangu achaguliwe WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekabidhi hundi ya shilingi bilioni 200 kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka ikiwa ni utekelezaji…
Wasira asisitiza umoja CCM
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umoja wa wanachama ndiyo uliokiwezesha chama kufanya mambo makubwa. Wasira alisema hayo leo mjini Bunda katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa CCM….
Prof. Shemdoe, balozi wa Norway wajadiliana namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekutana na Balozi wa Norway nchini Tanzania Mhe. Tone Tinnes na kufanya mazungumzo ya namna ya…
Askari waTanzania wavishwa nishani kutambua mchango wa kulinda amani Sudan Kusini
Maafisa,na askari wa vyeo mbalimbali kutoka Jeshi la Polisi Nchini Tanzania ambao nikundi lilomaliza muda wake wa kuhudum kulinda amani nchini Sudan kusini wamehitimisha kwa Paredi maalum ambayo ili ambatana na kuwavisha nishani( Medall Pin) maafisa na askari hao ikiwatambua…





