JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Samia: NHC imejipanga kujenga makazi bora ya wananchi

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema imejipanga vizuri kuboresha makazi ya wananchi. Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa majimbo ya Kivule, Segerea,…

Mgombea udiwani ACT Wazalendo aahidi kuisuka upya Mabale, Misenyi kimaendeleo

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera Zikiwa zimesalia siku chache wananchi kutimiza haki na wajibu wao wakuwachagua viongozi wa udiwani, wabunge na Rais mgombea udiwani kata Mabale Jimbo la Misenyi mkoani Kagera kupitia tiketi ya ACT WAZALENDO Mhandisi Sweetbert Kaizilege John…

Pwani yajipanga kwa uchaguzi, vituo 3,941 na wapiga kura ni milioni 1.4

Na Mwamvua Mwinyi, JamhiriMedia, Pwani Jumla ya vituo 3,941 vya kupigia kura vimeandaliwa katika Mkoa wa Pwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, kwa mujibu wa Mratibu wa Uchaguzi wa mkoa huo, Gerald Mbosoli. Mbosoli amesema kuwa…

TMA yatoa taarifa ya uwepo kimbunga ‘Chenge’ Kusini Magharibi Bahari ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo na mwenendo wa Kimbunga “CHENGE” katika Bahari ya Hindi, Kaskazini Mashariki mwa Kisiwa cha Madagascar umbali wa takribani kilometa 2400 kutoka Mashariki mwa pwani ya Mtwara. Kimbunga “CHENGE” kilianza…

Asilimia 83 ya Watanzania wathibitisha kupiga kura Oktoba 29,2025

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Takwimu zinaonyesha asilimia 83 ya wananchi walioshiriki kura ya maoni kutoka mikoa 19 wamethibitisha kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,2025 kwa kupiga kura. Takwimu hizo zimetolewa na Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika(Centre for International…