Category: MCHANGANYIKO
Watoto yatima Tabora wamwombea dua Dk Samia
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WATOTO yatima wanaolelewa katika Kituo cha Mafanikio Day Care kilichoko Mjini Tabora wamefanya dua maalumu ya kumwombea Dk Samia Suluhu Hassan ili apate ushindi wa kishindo mwaka huu ili aendelea kusaidia wananchi. Wakisoma dua hiyo…
Watumishi wa Umma waaswa kushiriki uchaguzi wa Oktoba 29
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote wa umma walioko katika taasisi na mashirika ya umma kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Ofisi…
Kunenge -Hakuna atakayetishwa, jitokezeni kupiga kura
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Kibaha MWENYEKITI wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, amesema vyombo vya dola vimejipanga kuhakikisha hali ya usalama inakuwa shwari na hakuna yeyote atakayebughudhiwa au kutishwa wakati wa mchakato wa upigaji…
Ado Shaibu afanya mazungumzo na mama lishe
Katika mwendelezo wa programu ya kukutana na makundi mbalimbali kwenye jamii, jana tarehe 25 Oktoba 2025, mgombea wa Ubunge Jimbo la Tunduru Kaskazini Ndugu Ado Shaibu Ado amekutana na kufanya mazungumzo na Mama Lishe wa Tunduru Kaskazini kwa ajili ya…
Bila uamuzi mgumu Ngorongoro itakufa
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) mwaka 2017 ilifanya Sensa ya Idadi ya Watu na Mifugo kwa watu wanaoishi katika Tarafa ya Ngorongoro. Sensa hiyo ilikuwa maalumu kufanyika katika Tarafa ya…





