JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Afya yaahidi kupatia BMH vifaa tiba kwa ajili ya kituo cha upandikizaji figo

Na WAF, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe ameipongeza Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kukamilisha mradi wa upanuzi wa kituo cha upandikizaji figo uliogharimu Shilingi Bilioni 1.5 na kuahidi Wizara ya Afya itahakikisha inaipatia BMH…

Mbarali waipa kongole wizara kuandaa kliniki maalum ya ardhi

Na Munir Shemweta, WANMM Baadhi ya wananchi katika halmashauri ya wilaya ya Mbarali mkoa wa Mbeya wameipa pongezi wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuandaa Klinik ya Maalum ya Ardhi kwa ajili ya kuongeza kasi ya umlikishaji…

JK ahudhuria mkutano wa kwanza wa uwekezaji wa maji Afrika

Na Mwandishi Maalumu Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, yupo Cape Town, Afrika Kusini, akihudhuria Mkutano wa Kwanza wa Uwekezaji wa Maji Afrika. Tukio hili la kihistoria limeandaliwa chini ya…

Ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mto Malagarasi, wapiga hatua mpya

*Mto wachepushwa ili kujenga tuta la kufulia Umeme *Kasi yapamba moto kukamilisha Mradi Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la kufua umeme kwa maji kupitia mto Malagarasi (MW49) umefikia hatua muhimu, kwa kuweza kuchepusha maji ya kwenye mto (kutengeneza njia ya…

Makamu wa Rais ashiriki mkutano SADC-EAC kuangazia hali ya Kongo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya…