JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, TAKUKURU yajipanga kudhibiti harufu ya rushwa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile (Mb), ameielekeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuhakikisha inasimamia kwa karibu na kwa uthabiti miradi yote ya maendeleo, huku akisisitiza kuwa miradi yenye viashiria vya rushwa haipaswi…

Naibu Waziri Kihenzile asisitiza utoaji huduma zenye tija kwa wananchi kupitia sekta ya uchukuzi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2025, Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile (Mb), ametembelea banda la Wizara ya Uchukuzi katika Viwanja vya Chinangali Dodoma, ambapo amepongeza jitihada za watumishi wa sekta hiyo kwa kuendelea…

Rais Dk Samia afungua mradi wa maji Lamadi Simiyu

Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.      

Rais Samia azindua mradi wa maji wenye thamani ya bilioni 12 Busega Simiyu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Mradi wa Maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 12 katika Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu. Mradi wa Lamadi ni…

Dk Samia aweka historia Simiyu,aandika nyingine Mwanza leo

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameacha alama kubwa za kihistoria mkoani Simiyu anapohitimisha ziara yake leo, kabla ya kuelekea Mwanza kuandika historia nyingine kwa kufungua rasmi daraja…