DG aanza kazi Bandari
Baada ya gazeti la JAMHURI kuchapisha habari za uchunguzi wiki iliyopita kuonyesha udanganyifu unaofanywa na baadhi ya maafisa wa Bandari ya Dar es Salaam, hali inayoipotezea mapato Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wiki moja tu, hali imebadilika. Bandari ya Dar es Salaam sasa imejaza mzigo wa makontena na magari kwenye yadi zake, hali inayotafsiriwa kuwa…