Category: Michezo
CAF yatupilia mbali malalamiko ya Guinea dhidi ya Taifa Stars
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), imetupilia mbali malalamiko ya timu ya taifa ya Guinea dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, yaliyowasilishwa na Shirikisho la Mpira la Guinea kuhusu uhalali wa mchezaji wa Tanzania,…
Nyabiyonza FC yaibuka kidedea dhidi ya Nyuki FC
📌 Dkt. Biteko ahimiza urafiki Nyabionza na Nyuki FC 📌 Mshindi wa kwanza aibuka na Milioni 6, wapili Milioni 4 Timu ya Nyabiyonza ya Karagwe mkoani Kagera imeibuka kidedea kwa kuifunga mabao mawili kwa moja timu ya Nyuki FC kutoka…
Polisi watoa ufafanuzi kuhusu mchezaji Bernad Morrison
Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi wa taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kumhusu Mchezaji Bernard Morrison ikituhumu Kituo cha Polisi Mbweni. Taarifa hiyo kila mtandao unaongeza chumvi kutokana na kuwa na taarifa ya upande mmoja. Ufafanuzi ni kwamba, Bernard…
Simba yaleta heshima kimataifa
Wekundu wa Msimbazi Simba Sc imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia katika mchezo wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika uliochezwa leo Disemba 15, 2024 katika uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar…