JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Usaliti kwa upinzani ni usaliti kwa taifa

Mara nyingi nimesema kwamba kuna watu wanaofanya siasa wakijiita wanasiasa wakati hawaelewi chochote kwenye siasa! Hawa wanaonyesha kuwa hawapo mahali sahihi. Inawezekanaje mtu ajiite mwanasiasa wakati haelewi siasa ni kitu gani? Wanachofanya hao ni kutafuta masilahi kwa ajili ya kuendesha…

Ongezeko la watu tishio kwa wanyamapori

Ongezeko la idadi ya watu limetajwa kama moja ya mambo yanayosababisha kuongezeka kwa migogoro inayotokana na muingiliano wa wanyamapori na binadamu. Hayo yamebainishwa katika semina ya mafunzo ya waandishi wa habari iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira…

Tukio hili tunalitafsirije? (1)

Nimeshtuka sana na kuingiwa wasiwasi kusikia eti yupo mbunge amediriki kuandika barua kwenda Benki ya Dunia kutaka zuio la fedha za maendeleo ya elimu hapa nchini. Nasema nimeshtuka kwa vile aliyetenda hivyo ninamfahamu kama ni askari wa Jeshi la Akiba…

Tumsaidie Rais kazi ngumu ya kuliongoza taifa

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwahi kusema kuwa urais ni kazi ngumu, akaifananisha na mzigo mzito. Nayaamini maneno hayo ya mzee wa Kizanaki. Nimejitoa wazi kutaka kumsaidia rais wetu kupambana na ugumu huu ninaouona. Kwa sababu rais anaongoza…

Wataalamu wabaini chanzo cha nzige Afrika Mashariki

Wanaitwa nzige wa jangwani na mtu angeweza kuhisi kuwa wanastawi sana katika maeneo ya jangwani, lakini si hivyo. Nzige hawa ambao hivi sasa wanalitesa eneo la Afrika Mashariki wanastawi sana katika maeneo yenye mvua nyingi. Kwa miezi kadhaa sasa nchi…

Ndugu Rais, tumepakwa majivu usoni moyoni tumebadilika?

Ndugu Rais, Jumatano ya majivu zamani tuliita sikukuu ya majivu. Kumbe ndiyo mwanzo wa mfungo wa Kwaresma. Kabla ya Kristu waliofunga walivaa magunia. Badala ya kujipaka majivu usoni, walijimwagia mwili mzima. Kila walipopita walijulikana kuwa wamefunga. Wote walihesabiwa kuwa ni…