Buriani Alhaj Simba, ulikuwa tumaini, utabakia mfano
Kifo ni maendeleo kwa maana ya mabadiliko yanayomtoa mwanadamu kutoka katika hali moja hadi nyingine. Moja ya maana ya kifo ni kutengana kwa roho na mwili baada ya kuunganishwa kwa njia ya kupuliziwa roho katika mwili pale mimba inapofikisha arobaini ya tatu au siku mia na ishirini tangu ilipotungwa. Mtume Muhammad (Allaah Amrehemu na Ampe…