Latest Posts
Tax afungua mazoezi ya Medani, Umoja 2024 ya JWTZ na Jeshi la China
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Stergomena Lawrence Tax, Mkuu wa Mjeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda, Wambata Jeshi wa Jeshi Rafiki pamoja na Mabalozi wakishuudia Vikundi vya Makomando Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa…
Rubani afariki dunia baada ya helikopta kuanguka juu ya hoteli Australia
Rubani mmoja amefariki baada ya helikopta kuanguka kwenye paa la hoteli moja katika mji wa Cairns kaskazini mwa Queensland. Ndege hiyo ilianguka kwenye hoteli ya DoubleTree mwendo wa 01:50 usiku kwa saa za eneo hilo siku ya Jumatatu, na kuwaka…
Polisi Mbeya wapiga ‘stop’ maandamano
Jeshi la Polisi linapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusiana na kuwepo kwa mipango ya viongozi wa chama cha siasa nchini [CHADEMA] kuhamasisha vijana kote nchini kukusanyika Mkoa wa Mbeya Agosti 12, 2024 kwa lengo la kufanya maandamano na mikusanyiko kwa…
Kusiluka : Vijana ingieni kwenye mfumo wa uchumi kidijitali
Serikali itakazana kuona kwamba Tanzania inapotekeleza Mkakati wa Uchumi wa Kidijiti (2024-2034) vijana wengi waweze kuingia kwenye mifumo wa kidijitali ili wao wawe sehemu ya uchumi wa dunia wa kidijitali ambao unajengwa sasa. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi,…
Vyuo vya afya valia gharama za mafunzo kwa vitendo
Na Daniel Limbe,Jamhuri Media,Geita UAMUZI wa Mabaraza ya madiwani kupanga gharama za mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi wa vyuo vya Afya,umetajwa kuwa mzigo mzito kwa uendeshaji wa taasisi hizo kutokana na baadhi ya wanafunzi kushindwa kumudu gharama hizo. Changamoto hiyo…





