Latest Posts
Serikali yaibariki timu ya Taifa kuogelea kuelekea mashindano ya dunia
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Baraza la michezo la taifa imetoa baraka zake kwa timu ya taifa ya mchezo wa kuogelea inayotarajia kwenda kushiriki mashindano ya dunia yanayotarajiwa kuanza hivi…
Tamasha la Utalii siku tatuA (Mafia Idland Festival) lafunguliwa leo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Tamasha la Utalii lijulikanalo kama “Mafia Island Festival” limefunguliwa rasmi leo Desemba 6, 2024 na mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta ambaye ni mgeni rasmi wa Tamasha hilo litakalodumu kwa siku tatu….
Spika mstaafu ashangaa wasichana kuwaacha wavulana kitaaluma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SPIKA mstaafu Anne Makinda ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kairuki amependekeza zifanyike tafiti kujua sababu za watoto wengi wa kiume kuachwa nyuma kitaaluma na wenzao wa kike. Aliyasema hayo jana…
Furahika chaanzisha kozi ya kufundisha wasichana ukondakta kwenye mabasi
u Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Ufundi Stadi cha Furahika, kimeanzisha program mpya ya kuwafundisha watoto wa kike masuala ya ukondakta kwenye mabasi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Chuo hicho,…
Serikali bega kwa bega na wafanyabiashara kutatua changamoto zao
📌 Rais Samia Apongezwa Kuifungua Nchi Kiuchumi 📌 Dkt. Biteko Awahimiza Wafanyabiashara Kulipa Kodi Kwa Maendeleo ya Nchi 📌 TCCIA Yaendelea Kuwa Daraja la Wafanyabiashara wa Tanzania, Yafungua Ofisi China, London na Uturuki 📌Serikali Yapongezwa Kwa Kuwekeza Kwenye Miundombinu Na…
Majiko ya gesi 19,530 kusambazwa kwa bei ya ruzuku Kilimanjaro
📌Kila wilaya kupata majiko 3,255 📌Kilimanjaro wamshukuru Rais Samia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatarajia kusambaza jumla ya majiko ya gesi (LPG) ya kilo sita 19,530 yanayotolewa kwa bei ya ruzuku ya 50% Mkoani Kilimanjaro…





