JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Benki ya Dunia kuisaidia Tanzania utekelezaji wa miradi 14 ya kimkakati

Ujumbe wa Tanzania (kushoto) ukiongozwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ukiwa katika kikao na Ujumbe wa Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, anayesimamia nchi za Kanda ya Mashariki na…

Zanzibar yaungana na dunia kuadhimisha kilele cha Wiki ya Maabara Duniani

Mkururugenzi mkaazi wa shirika la IPAC Nchini Tanzania Haruka Maryuma akitoa salamu za wadau wa maendeleo katika kilele cha wiki ya maabara Duniani huko Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar. Mkurugenzi wa kituo cha ulinzi wa afya wa kimataifa katika…

Tanzania, Ivory Coast zaingia makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya michezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Michezo ya Ivory coast katika masuala mbalimbali ya uendelezaji wa Sekta ya michezo. Makubaliano hayo yameingiwa leo Aprili 21, 2024…

Dk Gwajima afungua mkutano wa 21 wa MEWATA, asisitiza umuhimu kuongez kasi kujenga msingi ya afya ya watoto

Rais wa Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA) Dkt. Zaituni Bokhary akizungumza jambo katika mkutano mkuu wa 21 wa chama hicho uliofanyika leo Aprili 21, 2024 katika Hotel ya New Afrika, Dar es Salaam.

Tanzania yaishauri Benki ya Dunia kuweka vipaumbele katika miradi ya maendeleo ya Afrika

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (katikati) na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil (kulia), wakifuatilia Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Magavana wa Kundi la Kwanza la Nchi za…