Latest Posts
Miaka 60 ya Muungano, Tanzania yang’ara uongozi wa Taasisi za Kikanda na Kimataifa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kipindi cha utekelezaji wa miaka 60 ya Muungano, Tanzania imefanikiwa kutoa viongozi mahiri kuongoza taasisi za kikanda na kimataifa ikiwa ni ishara ya kuaminiwa na mataifa mengine. Baadhi ya nafasi ambazo Tanzania imeongoza ni uteuzi wa…
Dk Biteko: Bwawa la Umeme la Julius Nyerere liko salama
📌 Asema limepunguza athari za mafuriko 📌 Atoa pole kwa waathirika wa mafuriko Rufiji 📌 Aeleza jitihada za Serikali kwa waathirika 📌 Azungumzia umuhimu wa Nishati Safi ya Kupikia, Bei ya Gesi. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu…
Nchi za SADC zampongeza Rais Samia kwa maono yake katika usimamizi wa misitu ya miombo
Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Southern African Development Community-SADC) zimempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake katika usimamizi na uhifadhi wa misitu miombo hasa katika kuhama…
CBE yaahidi kuendelea kuisaidia shule ya Jangwani
CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na viti mwendo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya sekondari ya Jangwani jijini Dar es Salaam. Msaada huo ulikabidhiwa jana shuleni hapo na Mkurugenzi wa Taaluma wa CBE, Dk….
Watoto na vijana balehe wanaongoza kwa utumiaji wa simu za mkononi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia Mei 15 ,2024 taarifa ya hali ya Ukatili wa Watoto Mtandaoni (Disrupting Harm Report in Tanzania 2022) ya utafiti wa Serikali na UNICEF inaonesha katika nchi zote…





