Latest Posts
Silaa- Nitawafuatilia watendaji wa ardhi watakaotajwa kuchochea migogoro
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ,ametoa rai kwa watendaji na maofisa idara ya ardhi katika Halmashauri nchini ,wafanye kazi kwa weledi na kujiepusha kuwa sehemu ya kukuza migogoro kwenye maeneo…
MSD yapata mafanikio makubwa, yaboresha upatikanaji bidhaa za afya kwa Watanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BOHARI ya Dawa (MSD), imepata mafanikio makubwa hadi Juni mwaka huu wa 2024 kutokana na maboresho yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuongeza nguvu. Hayo yamebainishwa…
Tanzania na Japan kuendelea kushirikiana katika fursa mbalimbali
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Latifa Hamis ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF) ili kuona fursa mbalimbali…
Biden aendelea kushinikizwa asiwanie
Rais Joe Biden anaendelea kukabiliwa na wito wa kujitoa kwenye kinyang’anyiro cha urais na kumpisha mgombea mwengine wa chama chake kupambana na Donald Trump kwenye uchaguzi wa Novemba mwaka huu. Magavana na wabunge kadhaa wa chama chake wanangoja mahojiano ya…
Hanang yadhamiria kuwekeza kwenye madini ya ujenzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hanang Halmashauri ya Wilaya ya Hanang iliyopo mkoani Manyara imedhamiria kuwekeza kwenye Madini ya Ujenzi hususan kokoto ili kuongeza vyanzo vingine vya mapato. Hayo yamebainishwa leo Julai 04, 2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Teresa…





