Latest Posts
Mgodi wa Magambazi kuzalisha kilo 25 za dhahabu kwa mwezi ifikapo Agosti 2024
Unamilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 Utafiti umebaini uwepo wa mashapo ya dhahabu kiasi cha tani 21.7 Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Tanga Kampuni ya PMM Tanzania Limited inayomiliki mgodi wa Magambazi imeanza shughuli za uzalishaji madini ya dhahabu ambapo kuanzia…
Jamii yakumbushwa umuhimu wa malezi bora ya familia
Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jonsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameiasa jamii kuona umuhimu wa malezi bora kwa watoto ndani ya familia kama chanzo cha jamii. Ametoa wosia huo Aprili 18, 2024 jijini…
Benki ya Akiba yazindua rasmi huduma ya kadi za visa
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya Akiba (ACB) imezindua rasmi huduma ya kadi za VISA ambazo ni mahususi kwa kufanya huduma za miamala ya kifedha ambapo inauwezo wa kutumika sehemu yoyote Duniani. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo…
Ukraine yaonya kuhusu kutokea kwa vita vya tatu vya dunia
Waziri mkuu wa Ukraine ameiambia BBC kutakuwa na “Vita vya Tatu vya Dunia” ikiwa Ukraine itashindwa katika mzozo kati yake na Urusi, huku akilitaka bunge la Marekani kupitisha mswada wa msaada wa kigeni uliokwama kwa muda mrefu. Denys Shmyhal alionyesha…





