Latest Posts
Bodi ya TANESCO yafurahishwa na kupongeza maendeleo ya mradi wa Julius Nyerere
Na Charles Kombe, JamhuriMedia, Rufiji Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imefurahishwa na kupongeza wasimamizi wa mradi juu ya hatua za ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP). Hayo yamebainishwa na Makamu…
INEC yawataka watendaji wa uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura kutunza vifaa
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Kigoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetaka watendaji wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoani Kigoma kuhakikisha wanatunza vifaa vya uandikishaji ili vikaweze kutumika maeneo mengine nchini. Hayo yamesemwa na…
Wazazi watakiwa kusimamia malezi bora kwa vijana kundi rika na watoto
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Sal Wazazi , viongozi wa dini na wale wa kimila pamoja na wadau mbalimbali nchini wametakiwa ,kusimamia malezi ya vijana na watoto wa wa kike na kiume ili waweze kuwa na maadili bora ….
Timu ya taifa ya kuogelea safarini Kenya
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waogeleaji wanne wa timu ya taifa ya kuogelea wanatarajiwa kuondoka Juni 21 mwaka huu kwenda Nairobi, Kenya kushiriki mashindano yatakayofanza Juni 22 na 23, mwaka huu nchini humo. Akizungumza na waogeleaji hao wakati akiwakabidhi…
Mangungu ateua mjumbe wa bodi ya wakurugenzi
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Ally Mangungu amemteua, Dr. Kailima Ramadhani Kombwey kuwa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sports Club Company Limited. Taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo imebainisha kuwa Dkt. Kailima ataungana…





