Latest Posts
Sekta ya nyuki bado inakabiliwa na changamoto zinazotishia uendelevu wake – RC Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Dodoma una zaidi ya mizinga 18,000 ya nyuki yenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya kilo 135,000 za asali kiwango ambacho kinatajwa kuwa bado ni kidogo ikilinganishwa na fursa za ufugaji nyuki zilizopo mbapo zaidi ya…
Makosa ya ajali barabarani yaongezeka Aprili 2024 Zanzibar
Jumla ya ajali 18 zimeripotiwa mwezi wa Aprili, 2024 Wilaya ya Kaskazini ‘A’ na Kaskazini ‘B’ zimeripotiwa kuwa na ajali zaidi ambazo ni nne (4) kwa kila wilaya sawa na asilimia 22.2 ikilinganishwa na wilaya nyengine. Akitoa taarifa ya Makosa…
RAS Nguvila : Mamlaka za Serikali shirikianeni vema sio kutunishiana misuli
-Afungua na kufunga Kikao kazi Cha Robo Mwaka -Aelezea Umuhimu wa Kikao kazi Cha Robo Mwaka -Atoa Maagizo yafuatayo kwa MSM na Taasisi za Serikali Dsm Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt.Toba Nguvila amezitaka Taasisi za Serikali…
Wananchi waipongeza TANROADS Morogoro kurejesha miundombinu ya barabara Malinyi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Morogoro Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendelea na kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea…
Edward Mpogolo kukabidhi vifaa kupimia urefu watoto na bajaji hospitali za Ilala
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea na jitihada za kuhakikisha inajenga vituo vingi vya afya na kuboresha miundombinu ikiwemo vifaa tiba na usafiri ili kusaidia kila mtu anapohitaji huduma kat za afya anahudumiwa vizuri na watoa…
DART mbioni kuanza mfumo wa kadi janja kuachana na matumizi ya karatasi
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediia Dar es Salaam WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) leo wamefunga mafunzo kutoka kwa wataalamu wa idara ya Tehama ambayo yamejikita katika kadi janja zitakatumika katika mfumo wa nauli kabla ya abiria kuiingia kwenye geti anatumia kadi…





