JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaweka bilioni 81 ujenzi bandari ya Mbambabay

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma WAKATI Rais Samia akitarajiwa kuwasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi imeelezwa kuwa serikali imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 81 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bandari ya kisasa ya Mbambabay Wilayani…

Walimu, wadau wa wapata mafunzo matumizi fasaha ya lugha ya kiswahili

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Walimu wa Kiswahili na wadau hapa chini wametakiwa kuona umuhimu wa lugha ya kiswahili katika kuimarisha utamaduni na elimu jambo ambalo litachangia jamii kukuza lugha ya kiswahili, uzalendo na uelewa wa historia ya nchi yao…

Kapinga ashuhudia fainali Doto Cup 2024

Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga Septemba 17, 2024 ameshuhudia fainali ya mashindano ya Doto Cup 2024 ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa. Mashindano hayo yameandaliwa na Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye ni Mbunge wa…

Dk Biteko mgeni rasmi hafla ya uwekaji jiwe la msingi mradi wa kuzalisha umeme mto Malagarasi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto M. Biteko, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme katika Mto Malagarasi wa megawati 49.5. Kwa mujibu wa…