JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tume ya uchunguzi yakutana na Katibu Mkuu Mnyepe, Gugu

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imeendelea na vikao vyake leo Februari 16, 2026 kwa kukutana na Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga…

RPC Songwe aongoza kuuaga mwili wa Ex Sajenti Perpetua

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), ameongoza maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali, majeshi mengine pamoja na wananchi kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Songwe katika hafla ya kuuaga mwili wa Ex Sajenti…

Kinywaji kipya chazinduliwa Dar

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi nchini wameshauriwa ,kutumia kinywaji chenye radha asilia cha Vin Nko kinachopatikana kwa baadhi ya nchi. Hayo yamebaiisha na Mkurugenzi wa Kampuni ya Cavido Company Limited Dominick Salamba wakati wa uzinduzi wa kinywaji…

Tanzania, Malawi wasaini mkataba kuimarisha biashara za wafanyabiashara wadogo

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Malawi Wafanyabiashara wadogo wanaofanya biashara katika mipaka ya Tanzania na Malawi wanatarajia kunufaika na Mfumo Rahisi wa kurahisisha na kuimarisha biashara za wafanyabiasha wadogo zinazofanyika katika mipaka ya Tanzania na Malawi (Simplified Trade Regime (STR) hususan…

Samba mbaroni kwa tuhuma za kukutwa mirungi Same

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi, kuanzia tarehe 10 hadi 16 Februari, 2026 imefanya operesheni maalum katika vijiji vya Marieni na…

Kamati ya ushauri Kibaha yapitisha bajeti ya bilioni 66.7/- kwa mwaka wa fedha 2026/2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Kibaha imepitisha na kuidhinisha rasimu ya mpango wa bajeti ya Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 yenye jumla ya Shilingi Bilioni 66.7. Kwa mujibu wa…