Latest Posts
FTK yaanzisha mpango wa kuelimisha watumishi wa umma kuhusu afya ya akili Moshi
Na Kija Elias, JakhuriMedia, Moshi Shirika lisilo la kiserikali la Foundation for Community Transformation in Kilimanjaro (FTK), linalojihusisha na shughuli za maendeleo ya jamii, limeanzisha mpango maalumu wa kuelimisha watumishi wa umma na wanajamii kuhusu masuala yanayohusiana na afya ya…
Watanzania waonesha uwezo katika kampuni za ubia
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam Kwa muda mrefu, kampuni nyingi za ubia kati ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji wa kimataifa ziliongozwa na wataalamu kutoka nje ya nchi. Lakini sasa, upepo umegeuka, baadhi ya kampuni hizo zinaongozwa na…
Tulinde afya zetu kuleta tija katika utumishi – Wakili Mpanju
Na Witness Masalu WMJJWM-Dodoma. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju amesema Serikali inaendelea kuimarisha mazingira ya utendaji kazi kwa watumishi wa umma ili kuongeza tija katika utumishi wao Akitoa…
Madini ya Spineli yapeleka utalii wa madini Mahenge
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mahenge, eneo lililopo mkoani Morogoro, Wilaya ya Ulanga limeendelea kujipatia umaarufu mkubwa duniani kutokana na madini adimu ya vito aina spineli, hali ambayo sasa inaliweka eneo hilo katika ramani ya utalii wa madini nchini Tanzania….
Makusanyo ya madini Simiyu yavuka malengo, yafikia zaidi ya asilimia 103
Na Mwandishi Wetu, Simiyu AFISA Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu, Mayigi Makolobela, amesema mkoa huo umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo na Sekta ya Madini, ambapo makusanyo ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/2026 yamevuka…





