Latest Posts
Tanzania kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Dawa na Vifaa Tiba Ukanda wa SADC
Na WAF, Johannesburg Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyeji (Host) wa Mpango wa Ununuzi wa Pamoja wa Dawa na Vifaa Tiba kwa nchi za SADC (SPPS), hatua inayotokana na kuaminiwa kwa uongozi wa Tanzania ndani ya…
Dk Jingu: Serikali inatambua mchango wa wazee
Na Abdala Sifi – WMJJWM – Morogoro Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amesema dhamira ya Serikali ni kuendelea kuwajali na kuwahudumia wazee kwa kuwa ni tunu na hazina ya Taifa….
Tusiwafiche familia mali zetu
Katika jamii zetu kume kuwa na desturi ya baadhi ya mitazamo kuwa ni vizuri kuwa na mali fiche amabazo hazijurikani na mkee.mume hata muda mwingine Watoto hata ndgu wa damu. Hii desturi imeaanza jengeka hasa kwa wanaume kuficha ama kufanya…
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yapata rais mpya
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yapata Rais mpya. Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imemchagua Jaji Blaise Tchikaya wa Jamhuri ya Kongo (Brazzaville) kuwa Rais mpya wa…
Tanzania kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Singapore
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA imeahidi kuimarisha ushirikiano wa sekta binafsi ya Tanzania na Shirikisho la Biashara la Singapore kama mkakati wa kukuza kiwango cha biashara baina ya mataifa hayo. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa…





