JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Chuo Kikuu Kairuki chaeleza akili mnemba ilivyorahisisha mambo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MATUMIZI makubwa ya teknolojia ya kisasa na akili mnemba yamerahisisha utoaji wa huduma za afya hususan upasuaji na kwenye kufundishia wanafunzi wanaosomea tiba. Hayo yamesemwa leo na Makamu Mkuu wa chuo Kikuu Kairuki,…

Serikaki yaimarisha miundombinu ya umwagiliaji Ihahi, wananchi wasema itapunguza adha ya mafuriko

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Wakazi wa Kata ya Ihahi, Wilaya ya Mbarali, wameishukuru Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), kwa hatua ya kujenga miundombinu ya Umwagiliaji ikiwemo mifereji kupitisha maji pamoja na kuziba makorongo yaliyokuwa yakisababisha madhara…

Meya Nicas: Sitowavumilia watumishi wazembe na wanaofanyakazi kwa mazoea

Na Mwamvua Mwinyi, JanhuriMedia, Kibaha Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ametoa rai kwa wakuu wa idara na watendaji kuacha kufanya kazi kwa mazoea, na badala yake kuongeza uwajibikaji ili kuhakikisha wananchi wanahudumiwa ipasavyo. Aidha,…

Baraza jipya la madiwani Bukoba laapishwa

Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba imefanya kikao cha Baraza la madiwani , kikiambatana na zoezi la kuapisha kwa madiwani pamoja na uchaguzi Makamu Mwenyekiti wa baraza, chini ya Hakimu Gisella Jovinus Mangula. Katika hotuba yake, Katibu Tawala wa Wilaya ya…

Utekelezaji mradi wa ‘BOLD’ wavutia wadau sekta kilimo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Wadau mbalimbali wa maendeleo katika sekta ya kilimo hapa nchini wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ‘Biodiversity for Opportunities, Livelihoods and Development’ (BOLD), unaolenga kuinua sekta ya mbegu kwenye nchi zaidi ya 50 duniani ikiwemo…

RC Ruvuma afungua maktaba ya mkoa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas,amefungua Maktaba ya Mkoa wa Ruvuma baada ya kusimama kutoa huduma kwa miaka mitatu mfululizo kutokana na uchakavu wa majengo yake. Akizungumza na wanafunzi,wananchi na wafanyakazi wa…