JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Biashara ya Kaboni yanufaisha wananchi Karagwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Karagwe Wananchi zaidi ya 100,000 wameanza kunufaika na biashara ya kaboni kupitia mradi wa kilimo mseto unaotekelezwa katika Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera. Hayo yamebainishwa wakati wa ziara ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais…

Kiteto waahidiwa mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na nyumba la wilaya

Na Munir Shemweta, Kiteto Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Leonard Akwilapo ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la wilaya ya Kiteto mkoani Manyara. Dkt Akwilapo alitoa ahadi hiyo leo tarehe 26 Februari…

Kamati ya uongozi wa mradi wa JNHPP yakagua maendeleo ya Bwawa la Julius Nyerere

*Yasema mradi umesimamiwa na kutekelezwa kwa ufanisi *Yasisitiza ni kichocheo muhimu katika fursa za kiuchumi na kijamii Kamati ya Uongozi wa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), tarehe 26 Februari 2026, imekagua maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika bwawa…

Sangu azitaka kampuni kuzingatia sheria za kazi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu ameagiza kampuni zote nchini kuzingatia kikamilifu sheria za kazi na kuhakikisha wafanyakazi wanalipwa stahiki zao kulingana na viwango vilivyoainishwa katika Sheria za kazi. Aidha, amesisitiza pia…

Dugange azitaka halmashauri kununua magari ya taka, kujenga madampo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Halmashauri nchini zimetakiwa kuzingatia usimamizi wa taka kwa kutenga bajeti kwa ajili ya kununua magari ya kubebea taka na kujenga madampo yatakayotumika kwa ajili ya ukusanyaji wa taka hizo. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…

Uhamiaji Pwani yadhibiti mianya ya njia za panya, wahamiaji 1,479 wakamatwa mwaka 2025

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Uhamiaji Mkoa wa Pwani, imejidhatiti kuimarisha doria na misako, na kuweka maofisa wa uhamiaji katika ngazi ya kata ili kudhibiti raia wanaoingia au kupita mkoani humo bila kuwa na vibali halali. Hatua hiyo inalenga kuongeza…