Latest Posts
Bilioni 151 RUWASA Mwanza kung’arisha huduma ya maji vijijini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Mwanza unaendelea na utekelezaji wa miradi 71 inayoendelea kujengwa katika wilaya mbalimbali ambapo ikikamilika inatarajiwa kupandisha wastani wa huduma ya maji vijijini mkoani humo…
Pwani ina zaidi ya ranchi ndogo 800 na kukabiliana na migogoro ya wakulima, wafugaji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji MKOA wa Pwani una zaidi ya ranchi ndogo 800, mfumo unaowawezesha wafugaji kumiliki maeneo rasmi ya malisho, kutambua mifugo yao pamoja na kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji. Mpango huo ulizinduliwa Novemba 2024 mkoani…
Dk Jingu: Mtoto ni msingi wa maendeleo na ustawi wa taifa lolote
Na Maryam Elhaj WMJJWM- Dodoma SERIKALI imesema Maendeleo ya Taifa lolote inategemea malezi na makuzi kwa watoto ili kujenga Taifa imara lenye uzalendo upendo kwa Nchi na uchapa kazi. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…
RC Iringa asisitiza wananchi kuwalinda wakandarasi na vifaa vya ujenzi
📌Mradi wa bilioni 32.3 kusambaza umeme kwenye vitongoji 214 vya mkoa wa Iringa 📌Mkandarasi M/s Silo Power atakiwa kumaliza kazi kwa wakati 📌Wateja 7,500 wataunganishiwa huduma ya umeme 📌Asema umeme ni maendeleo, uchumi, huduma na biashara Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…





