Latest Posts
Mwanza kinara katika usimamizi wa maafa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mkoa wa Mwanza umetajwa kuwa Kinara kwa kuratibu na kusimamia ipasavyo shughuli za kukabiliana na maafa, majanga na mawasiliano ya dharura kutokana na hatua mbalimbali za kuimarisha mifumo ya utayari na mwitikio wa dharura. Sifa…
CCM yaeleza uimara wake katikati ya mjadala wa kisiasa, yaendeleza mpango wa mwongozo wa malezi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Licha ya kuwepo kwa mijadala inayoendelea ndani ya ulingo wa kisiasa,Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imesisitiza kuwa chama hicho kitaendelea kuwa imara na chenye mshikamano , ikieleza kuwa kauli za mtu mmoja…
Waziri Mkuu: Tanzania iko salama dhidi ya Ebola
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania inaendelea kuwa salama dhidi ya ugonjwa wa Ebola huku Serikali ikiendelea kuimarisha mifumo ya tahadhari, ufuatiliaji na utoaji wa elimu kwa wananchi kuhusu magonjwa ya mlipuko. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi, Juni 4,…
Vyuo vikuu vya Tanzania na Malaysia kujenga ushirikiano mpya wa elimu ya uuu
*Wazazi na Wanafunzi Wafurahia Fursa za Kusoma Malaysia. *Waliokosa fursa Serena watakiwa Kufika GEL kupata huduma kama za maonesho Na Mwandishi Wetu WAZAZI na wanafunzi nchini wamefurahishwa na maonesho ya vyuo vikuu Malaysia ambavyo vimewapa fursa mbalimbali za masomo nchini…
WFP kuendelea kushirikiana na Serikali katika masuala ya usimamizi wa maafa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula la Duniani (World Food Programme -WFP) limesema litaendeleza mashirikiano na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuhakikisha masuala ya menejimenti ya maafa yanaendelea kutekelezwa…
Safari za Shirika la Ndege la Brussels Airlines kutoka Brussels – KIA zazinduliwa rasmi
Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya usafiri wa anga na utalii baada ya Shirika la Ndege la Brussels Airlines kuzindua rasmi safari zake za moja kwa moja kati ya Brussels, Ubelgiji na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro…





