Latest Posts
Balozi Kaganda akutana na Mkurugenzi Idara ya Afrika na Asia kuimarisha uhusiano
BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA MKURUGENZI WA IDARA YA AFRIKA NA ASIA KUIMARISHA USHIRIKIANO Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika na Asia katika Wizara ya…
Mfumo jumuishi wawezesha wafanyabiashara 50 wa mazao kufuata misingi ya ikolojia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MFUMO jumuishi uliotengenezwa na Shirika la Islands of Peace (IDP), umewezesha wafanyabishara 50 wa mazao na bidhaa za kilimo ikolojia mkoani Arusha kufuata hatua na taratibu za kibiashara na misingi ya kiikolojia. Hayo yamesemwa na…
Kamati ya Bunge yaridhishwa na kasi ya ujenzi wa jengo la ghorofa 10 CBE
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb), ameeleza kuridhishwa kwake na hatua ya ujenzi wa jengo la kisasa la Vipimo na Viwango katika Chuo cha…
Ushirikiano wa TEITI na mgodi wa Geita waongeza uwazi na uwajibikaji katika rasilimali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI, Balozi Wilson Masilingi, ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited akiambatana na Menejimenti ya TEITI, kwa lengo la kujitambulisha na kufanya mazungumzo na menejimenti ya mgodi huo. Akizungumza…
Waziri Nanauka kurunzi jipya kwa vijana
Na Byarugaba Innocent, OR-MV Tanzania nchi yangu, nakupenda kwa moyo wangu wote. Ni nchi yenye utajiri mwingi kuanzia amani iliyopo. Aidha, rasilimali watu, ardhi yenye rutuba, madini, mbuga za Wanyama, vyanzo vya kudumu vya maji ikiwemo bahari, maziwa, mito na…
BoT yashiriki wadau mpangp wa kuanzosha kampuni ya udhamini wa mikopo
Na Mwandishi Wetu Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiongozwa na Naibu Gavana wa Sera za Uchumi na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila, imefanya kikao na wadau mbalimbali kujadiliana kuhusu mpango wa kuanzishwa kwa kampuni ya utoaji na usimamizi wa dhamana za…





