Latest Posts
Rais Ruto atuma vikosi vya dharura kufuatia mafuriko yaliyoua watu 25 Nairobi
Rais wa Kenya William Ruto ameagiza kupelekwa mara moja kwa kikosi cha dharura kutoka taasisi mbalimbali kusaidia juhudi za uokoaji kufuatia mafuriko ya ghafla yaliyosababisha vifo kadhaa katika jiji kuu la Nairobi. Mamlaka zinasema watu 25 wamefariki dunia baada ya…
Rais wa Iran awaomba radhi majirani, akataa kusalimu amri
Rais wa Iran ameomba radhi kwa kuyashambulia mataifa ya kikanda, lakini ameendelea kuikosoa Marekani. Kauli yake imekuja wakati makombora na droni za Iran vikiendelea kuruka kuelekea Israel na mataifa ya Ghuba ya Kiarabu. Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ametupilia mbali…





