JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Maghembe, Luswetula wawasili Afrika Kusini kushiriki Mkutano wa 47 wa SADC

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula wamewasili jijini Pretoria, Afrika Kusini kushiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya…

CCM yafanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Ndg. Asha-Rose Migiro,leo tarehe 11 Machi 2026 amefanya mazungumzo jijini Dodoma na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja…

Rais Dkt. Samia aasili mtoto Grace Samia Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma. ‎Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan alitelekezwa mjini…

Dk Magembe : Kila muajiriwa anakuwa na uhakika wa matibabu kuelekea utekelezaji wa Bima ya Afya

Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewataka waajiri kuhakikisha kila muajiriwa anakuwa na uhakika wa matibabu kuelekea utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote na Dira ya Maendeleo ya Taifa ya…

Xavier Mrope : Serikali yaandaa mfumo mpya kupata kupata viongozi bora waliondaliwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora inaandaa utaratibu mpya wa upatikanaji wa viongozi kupitia mfumo maalum wa Leadership Competency Framework, lengo ni kuongeza msisitizo wa kuwajengea uwezo viongozi wapya…