JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nkasi yapokea boti ya chanjo kuimarisha huduma mwambao ziwa Tanganyika

‎Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi, Afraha Hassan, kwa niaba ya wananchi wa wilaya hiyo, amepokea boti ya huduma za chanjo katika hafla iliyofanyika katika Halmashauri ya Kibiti, Mkoa wa Pwani.‎‎Akizungumza mara baada ya kupokea boti hiyo, Mkurugenzi…

Mtoto afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nkasi‎‎Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la Jenifa Mafuru (8) mkazi wa Kijiji Cha Ipanda kata ya Nkomolo amefariki Dunia baada ya kusomwa na maji alipokuwa akivuka.‎‎Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kamanda wa Polisi mkoa Rukwa…

Acheni Kutangaza Watu, Tangazeni Nchi – Makonda

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda amewataka wadau wa sekta ya habari kubadili ajenda ya kutangaza watu badala yake watangaze fursa za uchumi zilizopo nchini. Ametoa rai hiyo leo Aprili 30,…

Serikali kuimarisha upatikanaji haki kupitia Kampeni ya Msaada wa kisheria Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imepanga kuanza awamu ya pili ya kampeni ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia itakayofanyika kuanzia Mei 1 hadi 15, 2026 katika Mkoa wa Dodoma, kwa lengo la kuwafikia wananchi wengi zaidi na…

UNESCO, MAIPAC waja na mwongoza kwa wanahabari, watengeneza maudhui jamii za pembezoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia jamii za pembezoni (MAIPAC) na Idara ya Habari Maelezo, wanaandaa mwongozo kwa ajili ya watengeneza maudhui katika…

Serikali yawasilisha mipango 1, 082 ya ushirikishwaji wa Watanzania sekta ya madini

*Ni kipindi cha mwezi Julai 2025 hadi Machi 2026, Watanzania 19,695 waajiriwa katika migodi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Madini imefanikiwa kuwasilisha Mipango 1,082 ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini katika kipindi cha Julai…