Latest Posts
Mchehu azitaka kampuni ambazo Serikali ina hisa chache kukumbatia uongozi wa kimkakati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye uongozi wa kimkakati unaotazama…
Bilioni 19.6 za mradi wa TACTIC kuleta mageuzi ya kijamii na kiuchumi Lindi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali imeanza utekelezaji wa mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaolenga kukuza uchumi na kuboresha maisha ya wananchi katika Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. Hayo yameelezwa na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi…
Makamu wa Rais akishiriki Misa Takatifu ya kuombea hayati JPM
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiungana na Viongozi pamoja na Wananchi mbalimbali katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri…
Wananchi, viongozi wakishiriki ibada ya kumuombea hayati Dk John Magufuli
Viongozi pamoja na wananchi mbalimbali wakishiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, inayofanyika Chato mkoani Geita, leo tarehe…
Tuamue kuiokoa Ngorongoro au kuiteketeza
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita, Tume mbili za Rais zimewasilisha ripoti zao kuhusu mustakabali wa Mbunga ijulikanayo kama Ngorongoro Conservation Area (NCA). Ripoti hizi zimejadili kwa kina suala la uwepo wa binadamu ndani ya eneo hili…





