JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Londo awataka maafisa biashara nchini kuibua fursa za uwekezaji

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo (hayupo pichani) ,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali…

TBS Yateketeza Tani 39 za bidhaa za Chakula

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeteketeza tani 39 za bidhaa za chakula zisizokidhi matakwa ya viwango, zenye thamani ya takribani Sh milioni 149, ikiwa ni hatua ya kuwalinda wananchi dhidi ya matumizi ya bidhaa…

TRAMEPRO : Siri kubwa ya mafanikio ya taifa ni kuwekeza kwa vijana

Na Aziza Nangwa, Jamhuri Media, Zanzibar Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Vijana Duniani, Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO) limedai vijana ni nguvu ya leo, wajibu wa kesho na walinzi wa dunia, hivyo wanapaswa kupewa nafasi na…