JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waratibu wa kitaifa wa nchi za Jujuiya ya Ukanda wa maziwa makuu wakutana jijini Kinshasa

Mkutano wa 20 wa Kawaida wa Waratibu wa Kitaifa wa Nchi za Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) umefanyika tarehe 10 Novemba, 2025 jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – DRC. Mkutano huo ni sehemu ya maandalizi ya…

Tanzania yaihakikishia dunia hali ya utalii iko salama

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, akiongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 26 wa Baraza Kuu la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kilichoanza leo Novemba 9, 2025, jijini Riyadh, Saudi Arabia,…

Kawaida :Oktoba 29, 2025 imeacha majonzi na funzo kubwa kwa Taifa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohamed Ali Kawaida amewataka wanasiasa kuacha kutumia lugha Mbalimbali ninazoweza kupelekea kuligawa Taifa kufuatia matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea tarehe ya29 na…

Zungu aibuka kidedea kinyang’anyiro cha uspika, Silo ashinda nafasi ya Naibu Spika

Na Dotto Kwilasa, Jamhuri Media, Dodoma Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita na Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azan Zungu, ameibuka kidedea baada ya kuchaguliwa kwa kishindo kuwa mgombea wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano…

Wakandarasi kufanya kazi saa 24 Mara

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi amewataka wakandarasi wote wasiokuwa na uwezo wakufanya kazi katika Mkoa huo kuacha mara moja kuomba kazi katika Mkoa huo kwani kwa sasa watalazimika kufanya kazi Usiku na Mchana kwa…