JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania na IFC zajadili ushirikiano sekta ya umma na sekta binafsi kwa maendeleo ya nchi

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania imerejea tena dhamira yake ya kushirikiana kwa karibu na Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) ili kuongeza uwekezaji wa sekta binafsi, kupanua miundombinu na kuharakisha Mpango wa Taifa wa mabadiliko ya…

Watumishi FCC watoa elimu ya haki za mlaji Mara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara WATUMISHI  wa Tume ya Ushindani Ofisi ya Kanda ya Ziwa wametoa elimu kwa wadau mbalimbali, wakiwemo wanafunzi, waandishi wa habari na wafanyabiashara, walipotembelea Banda la Kliniki ya Walaji katika Manispaa ya Musoma Mkoani Mara. Banda…

Dk Dugange afungua kongamano la nishati safi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imehimiza kuwa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini itekelezwe kwa misingi ya uhifadhi, usimamizi wa mazingira na ushirikishwaji wa jamii za wenyeji ili kulinda urithi wa nchi. Hayo yemesemwa na Naibu…

TAKUKURU yawafikisha mahakamani wawili kwa tuhuma za rushwa na uhujumu uchumi Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Muheza mkoani Tanga wakikabiliwa na tuhuma za rushwa na uhujumu uchumi. Kwa mujibu wa taarifa ya TAKUKURU, washtakiwa…

Wizara ya Nishati yaunga mkono ukuaji wa maudhui mtandaoni kupitia uwezeshaji wa mafunzo

Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia, kutoka Wizara ya Nishati, Bw. Nolasco Mlay, ameshiriki mafunzo maalum kwa waandaaji wa maudhui (content creators) yanayofanyika leo Machi 24, 2026 mkoani Dar es Salaam, yakilenga kuwajengea uwezo waandaaji hao wa maudhui ili kuboresha…