Latest Posts
SADC yahimiza mtangamano wenye matokeo chanya katika kikanda
Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa…
Museveni azindua Mfumo wa Dhamana ya Forodha EAC, biashara ya kikanda kupata kasi mpya
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, leo amezindua rasmi mfumo wa dhamana ya forodha wa kikanda (EAC Custom Bond) wakati wa Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…
Ruto aaga uenyekiti EAC, apongeza mafanikio ya ushirikiano wa kikanda
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, amepongeza mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda wakati akihitimisha kipindi chake cha uenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Akizungumza katika mkutano…
Iran : Hatutojisalimisha kwa Marekani na Israel
Saa kadhaa baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuitaka Iran “isalimu amri” ili kusitisha vita vinavyoendelea, Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameapa kuwa kamwe taifa lake halitajisalimisha kwa Marekani na Israel. Ameyasema hayo kupitia hotuba yake iliyorushwa na televisheni…
Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na mafuriko Kenya yafikia 23
Polisi jijini Nairobi wamesema watu 23 wamefariki dunia kufikia sasa,huku uharibifu wa mali, kufungwa kwa baadhi ya barabara pamoja na wakazi wengi kulazimika kuhama makazi yao kutokana na hali hiyo. Aidha zoezi la uokoaji bado linaendelea kufuatia mvua kubwa iliyonyesha…
Naibu Waziri Ndege atoa msaada wa futari na fedha kwa Waislamu Babati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara, Regina Ndege, amekabidhi futari na daku kwa waumini wa kiislamu kwa Madrasa…





