Latest Posts
Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA mgombea wa Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Masoud Mambo amesema kuwa demokrasia ya kweli haijengwi kwa mashinikizo, vitisho au siasa za misimamo mikali, bali hujengwa kwa hoja, ushindani wa sera na heshima kwa katiba na…
DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, amesema shule ya kisasa ya sekondari Kitunda inatarajia kumalizika hivi karibuni ili wanafunzi waweze kuanza masomo. Mkuu wa Wilaya Edward Mpogolo, amesema hayo Dar es Salaam…
Mchengerwa : Tanzania hatutaki kuwa soko duni la dawa
Na WAF – Dar es Salaam Waziri wa Afya Mohamed Mchengrwa amesema kuwa Tanzania inajipanga kuondokana kuwa soko la dawa duni zilizopitwa na wakati na kujikita zaidi katika uboreshaji wa uzalishaji wa bidhaa za afya ndani kupitia viwanda vya ndani…
Mndolwa akagua bwawa la ujenzi Mkomanzi, ujenzi wafikia asilimia 85
*Asisitiza kuzingatia muda na ubora wa ujenzi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji(NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amefanya ziara ya kikazi katika bwawa la kilimo cha Umwagiliaji la Mkomazi lililopo kijiji cha Manga Mtindiro,…
Meya Kibaha KIBAHA aitaka DAWASA Kibaha kuacha kigugumizi, utatuzi kero ya maji Viziwaziwa
Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Nicas Mawazo, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) , Kibaha kuacha kigugumizi na kutoa majibu kuhusu kero ya muda mrefu ya ukosefu wa…
EWURA, TRA kuimarisha ushirikiano
Watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na wenzao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), leo 23 Desemba 2025, wamekutana na kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa utendaji hususani katika usimamizi wa masuala ya kikodi…





