Latest Posts
Mabaki ya mwili wa Mtanzania Joshua Mollel yatambuliwa Israel, kurejeshwa nchini
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaarifu umma kwamba mamlaka za Israel zimethibitisha kuwa mabaki ya mwili yaliyokabidhiwa kwa Serikali ya Israel hivi karibuni kutoka Gaza ni ya Bw. Joshua Loitu Mollel, Mtanzania mwenye umri wa…
Mawakala 120 wa utalii kutoka Marekani wavutiwa na vivutio vya utalii Tanzania
Mawakala takribani 120 kutoka nchini Marekani wamefurahishwa na vivutio mbalimbali vya utalii vilivyoko nchini Tanzania ikiwemo utajiri wa utamaduni mzuri, wanyamapori na mandhari inayovutia. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Excellent Guide Tours and Safaris, Bw. Justin Alfred…
SADC wampongeza Rais Samia, Nchimbi asisitiza Tanzania kuendeleza amani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imechukua hatua za kurejesha utengamano katika nchi na kuhakikisha wananchi wanaishi katika utawala wa sheria. Makamu wa Rais…
Ujifadhi ndio moyo katika sekta ya utalii – Kamishna Badru
Na Mwandishi wa NCAA, Karatu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru ameeleza kuwa kusimamia na kuendeleza uhifadhi ni jukumu la msingi kwa mamlaka hiyo kwani uhifadhi ndiyo moyo katika ustawi wa…
Dk Tulia kujitoa kinyang’anyiro cha uspika kwazua mjadala
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia Dodoma Dr. Tulia Ackson Mwansasu, aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametangaza kujiondoa rasmi kwenye kinyang’anyiro cha Uspika wa Bunge leo, hatua iliyotangazwa kupitia taarifa yake binafsi kwa umma. Uamuzi huo umekuja ghafla…
Dk Tulia ajiondoa kugombea uspika
Dkt. Tulia Ackson, aliyekuwa mgombea wa Uspika wa Bunge kupitia CCM, ametangaza kujiondoa rasmi leo, tarehe 7 Novemba 2025. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile, amethibitisha kuwa Dkt. Tulia hakuwa ametoa sababu ya kujiondoa kwake, lakini alimwaagiza kuwaarifu wahariri…





