Latest Posts
Viongozi wa vitongoji na vijiji watakaokutwa na mashamba ya bangi kufyeka wenyewe
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza hekari 3,117.9 za mashamba ya bangi na kukamata watuhumiwa 12 katika operesheni maalum ya siku 16 iliyofanyika katika vijiji vinne vya Kata ya Kandawale na Kipatimo, Wilaya ya Kilwa,…
Asante Rais Samia kwa kusimamia Katiba mpya
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki hii mjadala wa Katiba Mpya umepata afya mpya baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na vyama 18 vya siasa nchini. Mkutano huu, ukiuangalia kwa umakini, ni mwendelezo wa njia aliyoahidi kuifuata…
Rais Samia: Kulinda amani ni kulinda uwekezaji na ajira
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kulinda amani na utulivu, akisisitiza kuwa ndiyo msingi wa uwekezaji, ajira na ukuaji wa uchumi. Rais Dkt. Samia ametoa wito huo leo Ikulu, jijini Dar es…
ORCI na MNH waunganisha nguvu kuimarisha huduma za Saratani nchini
Na Mwandishi Maalumu- Dar es Salaam Katika hatua muhimu ya kuimarisha mapambano dhidi ya saratani nchini wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamekutana jijini Dar es Salaam kuweka mikakati madhubuti…
PBPA yatoa elimu kuhusu mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta ya petroli, zinapatikana nchini kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Mwanasheria wa PBPA,…





