JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania ya kidigitali yaandika historia mpya sekta ya mawasiliano

Na Mwandishi Wetu MRADI wa Tanzania ya Kidigitali (DTP) umeendelea kuandika historia mpya katika sekta ya TEHAMA baada ya kukamilisha ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano iliyokuwa ikitangazwa hapo awali, huku minara hiyo ikiwa tayari inafanya kazi na kutoa huduma…

Wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za mauaji wameachiwa huru

Na John Walter, JamhuriMedia, Babati Mkuu wa Wilaya ya Babati na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo, Emmanuela Kaganda, amesema wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kumshambulia mwenzao hadi kufariki dunia wameachiwa huru na sasa wanaendelea…

Serikali yatoa mwongozo wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026

Serikali imetoa mwongozo rasmi wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Machi 1 hadi 8 kote nchini. Hayo yamebainishwa Februari 17, 2026 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe….

Akwilapo asisitiza maeneo ya umma kupimwa na kulindwa kuepuka uvamizi

Na Munir Shemweta, Lushoto WANMM Katika jitihada za kuhakikisha maeneo ya umma hayavamiwi na kusababisha migogoro ya ardhi, Serikali imeendelea kusisitiza taasisi za umma nchini kupima na kuyalinda maeneo yake. Kauli hiyo ya Serikali inafuatia kujitokeza kwa changamoto za ardhi…

Iran yatangaza kuufunga mlango Bahari wa Hormuz

Iran imetangaza Jumanne kufungwa kwa muda kwa Mlango Bahari wa Hormuz, kwa ajili ya kuendeleza luteka ya kijeshi yenye nia ya kuonyesha uwezo wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu. Hatua hiyo imechukuliwa huku wapatanishi wa Tehran wakiwa wamekamilisha mazungumzo yasiyo ya…

Zelenskiy : Trump ananishinikiza kupita kiasi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa akimshinikiza vikali katika kujaribu kupata suluhu ya vita vya karibu miaka minne akisema ni jukumu la Kyiv kuhakikisha mazungumzo hayo yanafanikiwa. Zelensky, katika mahojiano na tovuti ya Marekani…