Latest Posts
Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa
📌 Bilioni 3.2 kutumika kukamilisha miradi Ludewa, Njombe📌 Wananchi, taasisi za kijamii kuanza kunufaika na nishati ya REA📌 Sekta za uvuvi, afya na elimu kupata mapinduzi makubwa Ludewa, Njombe📍Matumaini ya ukuaji wa uchumi na uboreshaji wa huduma za kijamii yameongezeka…
Waziri Mkenda: Usimamizi wa ajira na rasilimaliwatu waimarishwa
…. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema utekelezaji wa mageuzi ya elimu unaoendelea nchini ni sehemu ya dhamira thabiti ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha vijana wanapatiwa ujuzi, maarifa na uwezo unaowawezesha kushiriki kikamilifu…
Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Belarus imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuimarisha uchukuzi wa mazao ya kilimo, hususan mbogamboga na nafaka, kupitia Bandari ya Dar es Salaam….
Ushirikiano wa sekta chachu ya mafanikio ya Afya Moja
Na Mwandishi Wet, JamhuriMedia, Kagera Timu ya wataalam kutoka sekta za afya, mifugo, mazingira, wanyamapori na kilimo imekutana katika Halmashauri ya Wilaya ya muleba mkoani Kagera kwa lengo la kuandaa Mpango wa Mkoa wa Afya Moja ambao utatumika kubaini rasilimali…
Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Watu 4 wamekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Magharibi na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kukutwa na vibunda 546 sawa na kilo 166.71 za dawa za kulevya…
Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya…





