JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali kuongeza nguvu kukabiliana na muingiliano wa mawasiliano maeneo ya mipakani

‎Na WMTH – Bungeni, Dodoma ‎Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habati imesema inaendelea kuongeza nguvu katika kuboresha miundombinu ya mawasiliano maeneo ya mipakani ili kupunguza changamoto ya muingiliano wa mawasiliano, sambamba na ujenzi wa minara ya mawasiliano…

Miradi ya mazingira yanufaisha Zanzibar

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema katika kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025 jumla ya miradi kumi ya kuhifadhji mazingira na kuhimili mabadiliko ya tabianchi yenye thamani ya takribani shilingi bilioni 97.6 imetekelezwa na kukamilika Zanzibar. Hayo yamebainishwa…

Waziri Mavinde azindua urushaji wa helkopta ya utafiti wa kina wa madini

▪️Ni utafiti utakaofanywa na Kampuni ya Barrick kwa ajili ya uanzishwaji wa mgodi mpya ▪️Utagusa maeneo ya Msalala, Nzega,Nyangh’wale, Igunga na Mbogwe ▪️Waziri Mavunde aelekeza wachimbaji wadogo kupewa maeneo ambayo hayatatumiwa kwa uwekezaji mkubwa ▪️Utafiti huu kuongeza eneo la Utafiti…

Hospitali ya Shifaa yasema saratani inatibika

….Yahamasisha wananchi wawahi kupima Na Mwandishi Wetu WATANZANIA wametakiwa kuondokana na dhana kwamba saratani haitibiki na badala yake wawahi hospitalini kupima kila wanapoona dalili mbaya kwani saratani inatibika kama mgonjwa atawahi kupima mapema na kuibaini. Hayo yalisemwa jana jijini Dar…

TAMISA yawahamasisha vijana kuchangamkia Trilioni 5 za mikopo ya uwekezaji sekta ya madini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizopo katika sekta ya madini kwa kutumia mikopo yenye thamani ya shilingi trilioni…

RITA kuwanoa wajumbe bodi za wadhamini mikoa sita

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama vya michezo na asasi za kiraia, Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA imeandaa mkutano na mafunzo kwa wajumbe wa…