JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani; TRA yakabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya milioni 40

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 40 kwa ajili ya kusaidia utoaji wa huduma…

SADC yahimiza mtangamano wenye matokeo chanya katika kikanda

Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa…

Museveni azindua Mfumo wa Dhamana ya Forodha EAC, biashara ya kikanda kupata kasi mpya

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, leo amezindua rasmi mfumo wa dhamana ya forodha wa kikanda (EAC Custom Bond) wakati wa Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…

Ruto aaga uenyekiti EAC, apongeza mafanikio ya ushirikiano wa kikanda

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, amepongeza mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda wakati akihitimisha kipindi chake cha uenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Akizungumza katika mkutano…

Iran : Hatutojisalimisha kwa Marekani na Israel

Saa kadhaa baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuitaka Iran “isalimu amri” ili kusitisha vita vinavyoendelea, Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameapa kuwa kamwe taifa lake halitajisalimisha kwa Marekani na Israel. Ameyasema hayo kupitia hotuba yake iliyorushwa na televisheni…

Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na mafuriko Kenya yafikia 23

Polisi jijini Nairobi wamesema watu 23 wamefariki dunia kufikia sasa,huku uharibifu wa mali, kufungwa kwa baadhi ya barabara pamoja na wakazi wengi kulazimika kuhama makazi yao kutokana na hali hiyo. Aidha zoezi la uokoaji bado linaendelea kufuatia mvua kubwa iliyonyesha…