Latest Posts
Kimaro : Pwani kuadhimisha Siku ya Wanawake Ikwiriri Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaungana na mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, huku kilele cha maadhimisho kimkoa kikitarajiwa kufanyika Machi 8, 2026 katika Uwanja wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya…
Rais wa Kenya Dk William Ruto awasili kushiriki mkutano wa 25 wa EAC
Rais wa Jumhuri ya Kenya Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika…
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye awasili kushiriki mkutano wa 25 wa wakuu wa nchi wa EAC
Rais wa Jumhuri ya Burundi Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe…
Serikali kuchochea uchumi wa Mang’ola kwa ujenzi wa barabara kilomita 10.8
Na OWM – TAMISEMI, Karatu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) itajenga barabara ya kijiji cha Mang’ola Barazani yenye urefu wa Kilomita 10.8 iliyopo…
Israel yazishambulia Iran na Lebanon, Tehran yajibu mapigo
Ndege za kivita za Israel zimeishambulia miji ya Beirut na Tehran leo huku kukiwa hakuna dalili ya kumalizika kwa vita vinavyoelekea kutimiza wiki nzima kesho Jumamosi. Israel ilisema mapema asubuhi kuwa imefanya “mashambulizi makubwa” kwenye mji mkuu wa Iran na…
Jeshi la Kongo lakamata silaha za kijeshi Ituri
Jeshi la Jamhuri ya Kidemorkasia ya Kongo (FARDC) limetangaza kukamata shehena kubwa ya silaha zilizofichwa kwenye eneo moja la mgodi katika jimbo la Ituri mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Kongo kwenye jimbo hilo, Jules Ngongo amesema miongoni…





