JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Israel yaendelea kufanya mashambulizi Iran

ISRAEL imesema alfajiri ya leo kuwa inaendelea kufanya mashambulizi ndani ya Iran ikiwemo kwenye mji mkuu Tehran. Hayo ni wakati duru kutoka Marekani zinasema Washington inajiandaa kuishambulia Iran mnamo siku za karibuni. Jeshi la Israel limetoa indhari ya kuondoka kwa…

Waendelezaji mradi wa kuzalisha umeme Lupali Njombe waelekezwa kuimarisha ulinzi na usalama wa mradi

📌Waishukuru REA kwa uwezeshaji wa zaidi ya shilingi bilioni 4.3 📌Utekelezwaji wake wafikia 97.5% Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu ameelekeza waendelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa kilowati 317 kwa kutumia maporomoko…

Wasira : Tangu Tanzania ipate uhuru imepata maendeleo makubwa, wasiyoyaona wafanye utafiti

Na Mwandishi Wetu, Katoro MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru Tanzania imepata maendeleo makubwa na kwamba wanaosema hakuna kilichofanyika ni vema wakafanya utafiti kwanza badala ya kuwa kama kasuku kukariri maneno wasiyoyajua….

Zaidi ya bilioni 107/- zakamilisha usambazaji umeme vijijini Simiyu

📌Kapinga asema sasa Serikali inapeleka umeme kwenye Vitongoji 638 📌Ataja miradi ya kuimarisha umeme Simiyu 📌 Simiyu yapata mitungi ya gesi 16,275 kwa bei ya ruzuku Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia…