Latest Posts
FORLAND yadhamiria kuimarisha mnyororo wa thamani katika misitu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mradi mpya wa Misitu na Matumizi ya Ardhi na Maendeleo ya Myororo wa Thamani (FORLAND) umejizatiti kuhakikisha miradi ya misitu inakuwa na tija kwa wananchi kuanzia hatua ya upandaji hadi mlaji wa mwisho. Mradi huu…
Dk Biteko azindua programu ya ugawaji majiko ya umeme kwa wafanyakazi TANESCO
Lengo ni kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia Asema matumizi ya umeme kwa ajili ya kupikia ni nafuu zaidi ukilinganisha na mkaa; Wananchi wahamasike Amtaja Rais Samia mafanikio Sekta ya Nishati Awapongeza TANESCO kutekeleza maoni ya Rais Samia kwa…
Mramba: Hatma ya wagombea CCM iko mikononi mwa vikao ngazi za juu
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimetoa rai kwa wagombea wa ubunge na udiwani walioongoza katika mchakato wa kura za maoni kuacha kufanya mbwembwe na kutengeneza makundi, na badala yake wawe watulivu kusubiri vikao vya juu…
Wizara ya Afya yaahidi kupatia BMH vifaa tiba kwa ajili ya kituo cha upandikizaji figo
Na WAF, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe ameipongeza Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kukamilisha mradi wa upanuzi wa kituo cha upandikizaji figo uliogharimu Shilingi Bilioni 1.5 na kuahidi Wizara ya Afya itahakikisha inaipatia BMH…





