Latest Posts
Wahandisi nchini watakiwa kufanyakazi kwa kuzingatia maadili
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAHANDISI nchini wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili, nidhamu na uwajibikaji kazini. Wito huo umetolewa leo Februari 11, 2025 na Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Bernard Kavishe wakati wa…
Tanzania kinara duniani matumizi ya TEHAMA serikalini
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Nchi ya Tanzania imefanikiwa kupanda daraja kutoka kundi B hadi kundi A na kushika nafasi ya 26 duniani, nafasi ya pili barani Afrika baada ya Mauritius na nafasi ya kwanza Afrika Mashariki kwenye ukomavu wa…
‘Zanzibar imenufaika na ufadhili wa mashirika ya kimataifa katika miradi ya umwagiliaji’
Na. Josephine Majura WF-Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imenufaika na ufadhili wa mashirika ya kimataifa katika miradi ya umwagiliaji inayolenga kuongeza uzalishaji wa kilimo na kuboresha maisha ya…
Mapambano dhidi ya biashara haramu ya maliasili yazidi kuimarishwa
Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na jitihada za kuongeza na kuwajengea uwezo watumishi wake wakiwemo wachunguzi na waendesha mashitaka ili kuongeza ufanisi katika usimamizi na kuendeleza maliasili nchini kwa faida ya kizazi cha sasa na kinachokuja. Hayo yamesemwa Jijini…
Sangu: Baadhi ya mamlaka za nidhamu hazizingatii sheria
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ,Deus Sangu amesema baadhi ya mamlaka za nidhamu hazizingatii sheria ,kanuni na taratibu za utumishi wa umma katika ushughulikiaji mashauri ya kinidhamu na…
Serikali yaagiza vifaa vya kujifungulia vipatikane vituo vya afya
Naibu Waziri Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk. Festo Dugange, ameagiza ofisi za halmashauri kuhakikisha vifaa vya kujifungulia vinapatikana katika vituo vya afya. Akijibu swali bungeni mjini Dodoma, Dk. Dugange alisema kwamba sera ya afya inatoa muongozo wa huduma kwa wakinamama…





