JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NSSF yapiga hatua kubwa kiutendaji, yawataka Watanzania kujiunga na mfuko isiyo rasmi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umesema unatarajia kuandikisha wanachama milioni 21 kutoka sekta isiyo rasmi, huku umri wa kuchangia ukiwa ni kuanzia miaka 15 hadi 70 na kiwango kikianzia Sh….

Sekta ya viwanda na uwekezaji yapaa Pwani

*Mkoa waweka alama kujibu kwa vitendo katika sekta ya viwanda *Kati ya viwanda 1,535, viwanda 131 vimejengwa kipindi cha Rais Dk Samia Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Pwani AJENDA ya kuleta Mapinduzi kwenye sekta ya Viwanda nchini, inazidi kushika kasi ambapo…

DC Malinyi ahimiza wananchi Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Malinyi MKUU wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba amehamasisha wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kukimbia mbio za kilomita tano. Waryuba aliongoza wananchi na watumishi katika wilaya hiyo kwenye mbio hizo alizozipa jina…

BRELA kuendesha kampeni ya utoaji elimu kuhusu urasimishwaji kwa wafanyabiashara

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Usajili wa Makampuni nchini (BRELA) imelenga kuendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara juu ya urasimishwaji. Akizungumza katika maonyesho ya kimataifa ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya sabasaba vilivyoko temeke, Dar es Salaam….

Makusanyo ya TRA yapaa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia,Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kuvuka lengo na kukusanyash.trioni 7.79 , kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha Julai hadi Septemba 2024. Makusanyo hayo yalionyesha mwezi Julai hadi Septemba 2024…

Iran yaishambulia Israel kwa makombora 180

Iran imeishambulia Israel kwa makombora kadhaa na kuongeza joto katika mzozo wa miezi kadhaa baina ya Israel na makundi yanayoungwa mkono na Iran ya Hamas na Hezbollah. Msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari amesema shambulizi la makombora kiasi 180…