Latest Posts
Sakata la Abdul, Nimemkumbuka Ridhiwan Kikwete
Na Kambi Mbwana, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambacho ndicho chama kikuu cha upinzani nchini, leo kinafanya uchaguzi wa viongozi wao. Katika uchaguzi huu, nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake zimekuwa na joto kali. Wanaowania…
Kitima ana biashara gani CHADEMA?
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na mgombea wa nafasi ya uenyekiti ndani ya chama hicho, Tundu Lissu, wakati wa mchakato wa kampeni zake amebainisha kuwapo kwa watumishi wa Mungu…
Mkuu wa Majeshi Israel ajiuzulu
MKUU wa jeshi la Israel Meja jenerali Herzi Halevi amejiuzulu, kutokana na kushindwa kuzuia uvamizi wa kundi la wanamgambo la Kipalestina la Hamas uliofanyika Oktoba 7 mwaka 2023. Katika barua yake ya kujiuzulu Halevi amesema sababu kubwa iliyomfanya kujiuzulu kushindwa…
Majaliwa : Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwa TMA
▪️Lengo ni kuwezesha utoaji wa utabiri na tahadhari za hali mbaya ya hewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya…
Pugu Marathon 2025 awamu ya Tatu Kufanyika Mei 31, mwaka huu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ASKOFU Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mhashamu Stephano Musomba ametoa wito kwa jamii kujitokeza kwa wingi na kuhakikisha wanajiandikisha kushiriki Pugu Marathon 2025 itakayofanyika Mei 31, 2025 katika viwanja vya…





