Latest Posts
CHAN 2024; Wasemavyo wadau wa soka kuhusu droo, kuahirishwa kwa michuano
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetangaza droo ya michuano ya CHAN inayoandaliwa mwaka huu kwa ushirikiano wa nchi ya Kenya,Tanzania na Uganda. Droo hiI ilitangazwa siku moja tu baada ya michuano hiyo kuahirishwa kutoka mwezi Februari hadi Agosti mwaka…
Pazia la watia nia ACT Wazalendo lafunguliwa
Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuutangazia umma kuwa mchakato wa ndani ya Chama wa wanachama kujitokeza na kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu 2025 umefunguliwa rasmi kuanzia tarehe 15 Januari, 2025. Hatua hii ni utekelezaji wa agizo…
Dorothy Semu kugombea urais kupitia ACT- Wazalendo
Na Mwandisi Wetu, JamhuriMediaa, Dar es Salaam Kiongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo, Dorothy Semu ametangaza nia ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama katika uchaguzi utakaofanyika mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari…
Lema, Msigwa walitaka kumpindua Mbowe – Wenje
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ezekia Wenje amezungumza na wanahabari mapema leo Januari 16, 2025 jijini…
TPA yafungua milango kwa sekta binafsi kuchangamkia fursa bandarini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeitaka sekta binafsi Tanzania kutumia fursa ya maboresho yaliyofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam kuitumia fursa hiyo kufanya biashara na kuongeza mapato ya taifa kuinua…





