Latest Posts
Waziri Chana atoa wito kwa nchi wanachama kushirikiana katika uwekezaji wa teknolojia
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Rais mpya wa Baraza la 14 la Usimamizi wa Mkataba wa Lusaka (LATF), Balozi Dkt. Pindi Chana, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Mkataba huo kushirikiana katika uwekezaji wa teknolojia, uvumbuzi, na mifumo ya kisasa…
Majaliwa ateta na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia, kiuchumi, teknolojia, kilimo na michezo kwenye kikao kilichofanyika ofisini kwa mwenyeji wake, Boulevard Angoulvant Plateau, jijini Abidjan. Akitoa ufafanuzi mara…
Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAFUNZI wa shule ya St Anne Marie Academy wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwenye kituo cha kulea yatima cha CHAKUWAMA jijini Dar es Salaam. Msaada uliotolewa na wanafunzi wa kidato cha sita wa…
Trump atangaza kuiondolea vikwazo vyote Syria
RAIS wa Marekani Donald Trump ametangaza kuiondolea vikwazo vyote Syria akisema kwamba ni wakati wa nchi hiyo “kusonga mbele” na hivyo kuipa nafasi ya kuanza kuufufua uchumi wake ulioporomoka kutokana na vita. Rais Donald Trump alisema kuwa Marekani haina mshirika…
Wanafunzi wa kidato cha sita 130 Milambo sekondari watimuliwa
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Wahitimu zaidi 130 wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Milambo iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa Tabora wametimuliwa baada ya kuleta vurugu na kutishia kuchoma majengo ya shule hiyo. Uamuzi huo umechukuliwa na…
Rais Samia, hili la msamaha wa faini za ankara za maji, umekonga nyoyo za wananchi
Na Dk. Reubeni Lumbagala Jamani eeeh! Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni mtu bingwa wa huduma za maji nchini. Pamoja na kwamba, serikali yake inafanya kazi usiku na mchana kuboresha maisha ya wananchi katika sekta…





