Latest Posts
Mpango wa Usawa wa kijinsia 2021–2027 wapewa msukumo mpya, Serikali yasisitiza haki sawa kwa wote
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa matakwa ya kikatiba ya usawa wa kijinsia yanatafsiriwa kwa vitendo katika nyanja zote za maisha, ikiwa ni pamoja na elimu, ajira, uongozi na mifumo ya sheria. Haya yamebainishwa leo Mei 29,2025 Jijini hapa…
Mama mzazi aliyemuuza binti yake kwa mganga afungwa maisha
Mwanamke wa Afrika Kusini aliyepatikana na hatia ya kumteka nyara na kumsafirisha bintiye mwenye umri wa miaka sita amehukumiwa kifungo cha maisha jela pamoja na wenzake wake wawili. Racquel ‘Kelly’ Smith (35), mpenzi wake Jacquen Appollis na rafiki yao Steveno…
China yakasirishwa na mpango wa Marekani kwa wanafunzi wake
China imekasirishwa na hatua ya serikali ya Marekani kuapa kubatilisha visa za wanafunzi wa China walioko Marekani, ikiita hatua ya Rais Donald Trump kuwa ya kisiasa na kibaguzi. Awali Marekani ilisema itaondoa nafasi ya wanafunzi hao kuomba visa za kuingia…
Mahakama ya Marekani yasitisha ushuru wa Trump
Mahakama ya shirikisho nchini Marekani imesitisha ushuru mkubwa uliowekwa na Rais Donald Trump hatua ambayo ni pigo kubwa kwa sehemu muhimu ya sera zake za kiuchumi. Mahakama ya Kimataifa ya Biashara iliamua kwamba sheria ya dharura, ambayo Ikulu ya White…
Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme vitongojini
📌 Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme 📌 Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji 📌 Mkurugenzi Mkuu REA atakiwa kumsimamia kwa karibu Mkandarasi wa miradi ya Vitongoji Ziwa Tanganyika…





