Latest Posts
Dk Nchemba afungua mafunzo ya Kamati ya PAC
Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefungua mafunzo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yanayohusu Usimamizi wa Fedha za Umma, yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kupitia…
Tanzania kushirikiana na Italia kuendeleza sekta ya madini
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejipanga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na Italia katika kuendeleza sekta ya madini, hususan kwa kutumia teknolojia na mitambo rafiki kwa mazingira. Waziri wa Madini, Mh. Anthony Mavunde (Mb), amesema hayo tarehe 06 Januari…
Idadi ya watu waliofariki tetemeko la ardhi Tibet yafikia 95
Takriban watu 95 wamethibitishwa kufariki na wengine 130 kujeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga eneo la milima la Tibet Jumanne asubuhi, vyombo vya habari vya Serikali ya China vinasema. Tetemeko la ardhi lililokumba mji mtakatifu wa Tibet wa…
MSD yapongezwa kwa maboresho ya huduma mkoani Kagera
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Bohari ya Dawa (MSD) imepongezwa kwa kuimarisha mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya mkoani Kagera, ambao umepunguza malalamiko ya upungufu wa bidhaa za afya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa hapo jana tarehe 6/1/2025 na…
Ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu, vyama andaeni sera
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Bunda Naandika makala hii nikiwa safarini wilayani Bunda. Nimekuja Bunda si matembezini, bali kumzika mwanaparokia mwenzetu, ambaye alikuwa Mweka Hazina wa Parokia yetu ya Roho Mtakatifu Kitunda, ambako mimi ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Walei. Ndugu…





