Latest Posts
Uzinduzi sera ya elimu waahirishwa hadi Februari 2025
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Aldof Mkenda, ametangaza kwamba mkutano wa uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, toleo la 2023, sasa utafanyika Februari 1, 2025, badala ya Januari 31, 2025,…
TAKUKURU Tabora wabaini madudu kwenye miradi ya maendeleo
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Tabora imetembelea na kukagua jumla ya miradi 11 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya sh bil 28 na kubaini dosari katika utekelezaji baadhi ya miradi…
Kuunganisha umeme maeneo ya vijijini sh. 27,000 – Kapinga
π Asema kuunganisha umeme maeneo ya mjini shilingi 320.960/- π Kapinga asema maeneo ya Kerwa umeme umeshafika Makao Makuu ya Vijiji Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto…
Dk Biteko aongoza waombolezaji kuaga miili ya wanafunzi waliofariki saba kwa radi Geita
π Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi π Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi π Viongozi wa dini wahimiza uvumilivu na uhimilivu kipindi cha majonzi Na Ofisi ya Naibu Waziri…
CCM yajivunia mafanikio yake ndani ya miaka 48
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Fadhili Maganya amesema Chama hicho kinajivunia miaka 48 ya kuzaliwa kwake ambapo maadhimisho yake yanatarajiwa kufanyika Februari 5 mwaka huu Jijini Dodoma kwa kuanza na kongamano Februari 2…
Uzee siyo hoja, bado nina uwezo – Wasira
Chama Cha Mapinduzi kimesema hakitayumbishwa na hoja dhaifu za upinzani kuhusu maendeleo huku ikiutaka upinzani kujipanga vema kuhimili kishindo chake. Aidha, Makamu Mwenyekiti wa CCM β Bara, Stephen Wasira ametoa angalizo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)…





