JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sillo : Wananchi toeni taarifa sahihi kupunguza muda wa uhakiki wa vitambulisho vya NIDA

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Licha ya jitihada zinazofanywa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA kuhakikisha waliokidhi vigezo wanapata namba za Nida/ au vitambulisho kwa haraka lakini kumekuwa na changamoto ya baadhi ya watu kujisajili zaidi ya…

Moto wa nyika Los Angeles ulisababishwa na nini?, watu 137 wakimbia miji yao

Moto wa nyika ambao umekuwa vigumu kudhibitiwa unateketeza sehemu za Los Angeles, na kusababisha vifo vya takriban watu watano, kuharibu mamia ya majumba, na kulazimisha zaidi ya watu 130,000 kukimbia kutoka majumbani mwao katika jiji la pili kwa ukubwa Marekani….

Serikali kuendelea kupokea maoni Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema ipo tayari kusikiliza maoni ya kila mmoja ili kuhakikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inakuwa halisi na shirikishi. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na…

Mchakato wa Dira 2050 waanza, AZAKI watoa maoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mh.Stanslaus Haroon Nyongo (Mb,)ameziomba Asasi za Kiraia (AZAKI) kufanya majadiliano ya pamoja badala ya kujikita kwenye ukosoaji, ili kujenga uelewa wa pamoja utakaofanikisha…