Latest Posts
Serikali ya India yachangia dola bilioni 1 kusaidia upatikanaji maji Korogwe
Na Lookman Miraji Serikali ya India kupitia balozi wake nchini Bishwadip Dey imechangia Dola billioni 1.1 kusaidia upatikanaji wa maji katika miji 28. Mradi huo unaofadhiliwa na serikali ya India umelenga kusaidia upatikanaji wa maji safi ya kunywa kwa wakazi…
Ujenzi kituo cha kupoza umeme Handeni kuimarisha upatikanaji umeme – Rais Samia
📌 Kituo kugharimu shilingi bilioni 50 📌 Zaidi ya Shillingi billioni 98 kutekeleza mradi wa gridi imara Kilindi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza…
Serikali, wadau waombwa kusapoti mashindano ya Lina PG Tour
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro SERIKALI wakiwemo wadau mbalimbali wa michezo hasa wa gofu wameombwa kusapoti mashindano ya Lina PG Tour yanayofanyika kila mwaka kwa lengo la kumuenzi mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya wanawake marehemu Lina Nkya….





