JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Taasisi zilizosajiliwa RITA zatakiwa kuwasilisha marejesho ya mwaka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imeziagiza Bodi za Wadhamini wa Taasisi kuhakikisha zinatimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria ikiwemo kuwakilisha marejesho ya kila Mwaka (annual returns) Akizungumza wakati wa kikao na wadau…

Bil 4.6/- kujenga daraja Tanganyeti

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amemkabidhi Mkandarasi Jiangx Geo Engineering kazi ya ujenzi wa daraja la Tanganyeti wilayani Longido lenye urefu wa mita 40 katika barabara ya Arusha-Namanga ambapo zaidi ya Sh bilioni 4.6 zitatumika katika ujenzi huo. Makabidhiano hayo…

Trump bado anakabiliwa na hukumu ya kumlipa kahaba

RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump, bado anakabiliwa na uwezekano wa kuhukumiwa wiki hii kwenye kesi yake ya kumlipa kahaba, baada ya jaji kukataa kusitisha hukumu wakati Trump akiukatia rufaa uamuzi dhidi yake. Jaji wa Mahakama ya Manhattan, Juan M….

Waziri Mhagama agawa mashine 185 za uchuguzi wa kifua kikuu nchi nzima

Na WAF – Dodoma Katika jitihada za kudhibiti na kutokomeza ugonjwa wa Kifua Kikuu nchini Tanzania ifikapo 2030, Serikali imegawa mashine mpya 185 zenye thamani ya Shilingi Bilioni 7 kwa ajili ya uchunguzi na ugunduzi wa vimelea vya ugonjwa huo…

Ndejembi amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 30

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amemaliza mgogoro baina ya Wamiliki wa Shamba la Sisal Estate na Wananchi 400 wa Kata ya Kwashemshi Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga uliodumu kwa zaidi ya miaka…