JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2017

Paulo Sozigwa hakustahili kutendewa namna ile (3)

Duniani sisi watoto wote wa Adam na Hawa tumerithi woga wa kuamua mambo. Ili kukwepa lawama, tunasukumia wengine tatizo ili sisi tuonekane tu wasafi. Tabia hii ya kukwepa kuwajibika binadamu tumeirithi toka kwa Adam na Hawa (Eva) pale bustani ya…

Tuwaogope waporaji kwa kuwa ni Wazungu?

Wamarekani wanaweza kuwa na tofauti zao za ndani, lakini linapokuja suala linalohusu maslahi ya taifa lao huungana na kuwa wamoja. Ndivyo nchi inavyopaswa kuwa. Waasisi wa taifa letu walitambua thamani ya umoja na mshikamano wa wananchi. Wakautambua umoja kama moja…

Yah: Uamuzi wa kimkakati katika kila jambo ni roho ya mtu

Leo nimeamua kuanza na kauli hii kutokana na jinsi ambavyo uamuzi wa suala la makinikia lilivyovaliwa njuga na mkuu wa kaya na kuonesha wazi kuwa hakuna linaloweza kushindikana iwapo dhamira ya mtu binafsi inaweza kuamua kufanya jambo. Nimewaza mambo mengi…

Ngoma inakesha, isizimwe

Siku zilizopita, niliwahi kuzungumzia nafsi inavyoweza kutenda mambo mema au mabaya kutokana na binadamu anavyotaka. Naweza kusema kwa vile binadamu ameumbwa akiwa na silika; hali ya kujitambua na anapata uwezo wa kufanya lolote atakalo. Nafsi ni roho. Nafsi inayochungwa na…

Namna ya kuijua hati halisi kabla hufanya manunuzi

Ni wangapi wamefanyiwa utapeli katika harakati za kununua viwanja au nyumba. Ni wangapi wamepata hasara kubwa kutokana na michezo ya utapeli iliyotamalaki katika ardhi nchini. Ni kesi ngapi ziko mahakamani zinazohusisha utapeli katika mauzo na manunuzi ya ardhi. Idadi ni…

Watanzania mbona tunalumbana hivi? Tatizo liko wapi?

Kutolewa kwa ripoti ya kwanza ya makinikia kulizua mjadala mkali miongoni mwa Watanzania; kutolewa kwa ripoti ya pili kumemwaga mafuta ya taa kwenye moto uliyowashwa na mjadala uliotangulia. Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi uliofanywa na kamati ya rais iliyoteuliwa…