JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2019

Rais Magufuli, Dk. Mpango jengeni wafanyabiashara (2)

Aya mbili za mwisho za makala hii wiki iliyopita zilisomeka hivi: “Makala hii itakuwa ndefu kidogo. Leo nimeanza na utangulizi. Wiki ijayo, nitaeleza umuhimu wa kujenga wafanyabiashara wazawa. China ilifanya uamuzi huo mwaka 1979 kwa maelekezo ya Deng Xiaoping. Marekani…

Bandari: Usipokee gari bila nyaraka hizi

Baada ya kuelezea njia za kutoa gari bandarini katika makala zilizotangulia kwa nia ya kuepuka usumbufu na kupata uhalali wa gari lako, leo tunakueleza kuhusu nyaraka muhimu unazopaswa kupewa na wakala wako anapokukabidhi gari uliloagiza nje ya nchi na likapitia…

Ndugu Rais nani kasema Bunge letu ni dhaifu?

Ndugu Rais, mtu akikutana na mtu anayedhani amelewa, amwambie umelewa. Kama hajalewa atampuuza tu. Ole wake kama atakuwa kweli amelewa. Atayaoga matusi yake. Ataanza na tusi halafu atamuuliza umenilewesha wewe? Hakijaeleweka bado Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali…

MAISHA NI MTIHANI (12)

Kutafuta pesa ni mtihani. “Pesa ni kama mgeni; inakuja leo na kuondoka kesho.” (Methali ya Malawi). Namna ya kupata pesa na namna ya kuitumia ni mtihani. “Kutengeneza pesa ni kama kuchimba kwa sindano, kuitumia ni kama kumwaga maji mchangani.” (Methali…

Kuporomoka maadili nani alaumiwe? (2)

Wiki iliyopita makala hii iliishia pale iliposema kesho ya mtoto  inajengwa na leo, methali ya Kiswahili inatukumbusha maneno haya: “Samaki mkunje angali mbichi.” Itakuwa ni biashara isiyolipa kumkunja samaki akiwa mkavu. Atavunjika, utapata hasara ambayo pengine hukutegemea kuipata. Nakubaliana na Frederick Douglass…

Wamarekani, Waafrika Kusini watuache

Taifa linahitaji fedha. Haya mambo makubwa ya kimaendeleo yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano yatawezekana tu endapo ari ya kubuni, kuendeleza na kusimamia vyanzo vya mapato ya ndani vitatambuliwa na kulindwa kwa nguvu zote. Kama ambavyo Rais John Magufuli…