Day: June 11, 2019
Gamboshi: Mwisho wa dunia (1)
Gamboshi ni Kijiji kilichopo katika Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu. Kijiji hiki kinasifika kwa uchawi kila kona ya Tanzania. Mtunzi wa hadithi hii, Bugulugulu Duu, ameamua kuvaa uhusika wa hadithi hii. Anaelezea kuhusu mazingira na mazingara ya uchawi katika Kijiji cha…
Miaka mitatu baada ya kifo cha Papa Wemba
Miaka mitatu imetimia tangu mwanamuziki nguli, Papa Wemba, kufariki dunia. Ilikuwa mithili ya simulizi za ‘Alinacha’ asubuhi ya Jumapili Aprili 24, mwaka 2016, kuzagaa kwa taarifa za kifo cha mtunzi na mwimbaji mkongwe, Papa Wemba, kwamba amefariki dunia. Taarifa hizo zilieleza…
Kagera Sugar, Mwadui kicheko
Pengine mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba, wangetamani kuona Kagera Sugar hairudi ligi kuu, lakini ndiyo kama ulivyosikia wamerudi. Uzoefu na mipango vimezifanya timu za Kagera Sugar na Mwadui kurejea ligi kuu msimu ujao wa 2019/2020, timu hizo zimefanikiwa…