Month: September 2019
Yah: Mabango ya waganga wa kienyeji
Leo nimeamua kutotaka salamu wala kusalimia mtu, nimeamka na hili la mabango ya waganga wenye vibali vya kujitangaza kutibu magonjwa yaliyoshindikana hospitalaini na makanisani. Hata sielewi ni nani hasa ambaye anaweza akawajibika kwana kesi hii siku ya mwisho pale palapanda…
Sipendi kiki, kazi inanitambulisha Foby
Mwanamuziki anayetamba na kibao cha ‘Twende’, alichomshirikisha Barnaba Classic kinachoshika chati ya juu katika vituo mbalimbali vya redio na televisheni, Frank Ngumbuchi, maarufu Foby, amesema hana mpango wa kujiingiza kwenye ‘kiki’ zisizokuwa na maana. Akizungumza na Gazeti la JAMHURI kuhusu…
Kudumu Ligi Kuu uwe roho ngumu
Siku zote wachezaji wavivu ndio wanapenda kulalamika mno uwanjani. Kauli kama hii iliwahi kusikika: “Aaah! Ticha inatosha bwana, kwa leo inatosha.” Huyo ni mchezaji wa zamani wa Yanga akimwambia kocha wake kuwa muda wa mazoezi umekwisha, hivyo apulize filimbi ya…