Month: November 2019
Serikali yaiangukia Benki ya Dunia
Serikali imeiomba Benki ya Dunia kusaidia rasilimali fedha ili kuwezesha utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa na serikali. Ombi hilo limetolewa hivi karibuni jijini New York nchini Marekani na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, alipokutana na…
Dodoma lajipanga kuwa jiji salama zaidi Afrika
Takriban miaka miwili baada ya Rais John Magufuli kuvunja Mamlaka ya Kuendeleza Makao Makuu Dodoma (CDA) na kuitangaza Dodoma kuwa jiji Aprili mwaka huu, ujenzi wa miundombinu ya kisasa, zikiwamo barabara mpya unaozingatia viwango vya kimataifa, ulianza kwa kasi ukilenga…
Ndugu Rais, jicho halijitazami
Ndugu Rais, bendi ya muziki ina ala nyingi. Wakati mwingine muziki unapigwa tangu mwanzo hadi mwisho na msikilizaji asisikie ala fulani ikijitokeza. Baba Phillip Mangula ni mtu wa pili kwa nguvu katika Chama chetu Cha Mapinduzi. Lakini chama na serikali…
Kifo ni faradhi si kete ya ushindi
Kifo ni mauti, ni hilaki. Ni tukio au tendo la kufikia mwisho wa uhai. Ni tendo la lazima kutokea kwa binadamu. Kwa hiyo kila nafsi itaonja mauti. “Inna Lilah Wainna Lilah Rajuun.” Yaani, sisi wote ni waja wa Mwenyezi Mungu…
Yah: Tumekuwa wakukurupuka mno
Inawezekana nimeandika pia barua za kukurupuka wiki nyingi tu zilizopita, lakini dhambi hiyo hainiondoi kwenye kutazama wengine wanafanyaje katika maisha yao. Mara nyingi mtu hajioni kilema chake isipokuwa kilema cha mwingine, na katika hili huwa tunaona vilema vidogo na kusahau…
Mafanikio katika akili yangu (7)
Huu ni mwendelezo wa kitabu cha toleo la kwanza. Ni hadithi inayozungumzia mwenendo na ndoto ya kijana Noel ambaye alitokea katika familia duni na hatimaye akafanikiwa kwa kiwango kikubwa. Fuatilia hadithi hii yenye mafunzo na hamasa… Noel akiwa nyumbani kwa…