Year: 2024
Yanga kucheza na Red Arrows Siku ya Wananchi
Kuelekea kilele cha siku ya Mwananchi Agosti 04, 2024, klabu ya Yanga imetangaza kucheza na klabu ya Red Arrows kutoka nchini Zambia Akizungumza na wanahabari mapema leo katika ofisi za Yanga, Afisa muhamasishaji Haji Manara amesema Red Arrows ambao ni…
Mwanamuziki Snura aachana na muziki, amrudia Mungu
Mwanamuziki Snura Mushi ametangaza kuacha muziki huku akikataza nyimbo zake zisichezwe kwenye vyombo vya habari na sehemu nyingine, Hatua hiyo imekuja baada msanii huyo kudai kuwa kwa sasa ameamya kumrudia Mungu wake. “Watanzania na nje ya nchi mimi Snura leo…
Zaidi ya bilioni 23 kutumika kusambaza umeme Kilimanjaro vijijini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetoa kiasi cha Shilingi Bilioni 23.7 ili kuhakikisha miradi yote ya kusambaza umeme vijijini Mkoani Kilimanjaro inakamilika na kuwapatia wananchi maendeleo ya kiuchumi na kijamii Mkurugenzi wa Umeme…
Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma afukuzwa ANC
Vyombo kadhaa vya habari nchini Afrika kusini vimeripoti kwamba,kamati ya nidhamu ya chama tawala cha African National Congress ANC imepitisha maamuzi ya kumtimua chamani aliyekuwa rais wa taifa hilo Jacob Zuma. Inaelezwa kwamba hatua hiyo imetokana na Zuma kukiongoza chama…