JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Miili 100 waliokufa kwa imani ya kukutana na Yesu kufanyiwa upasuaji

Maafisa nchini Kenya wanasema shughuli ya upasuaji wa zaidi ya miili 100 inayohusishwa na mchungaji mmoja ambaye anadaiwa kuwashauri waumini wake wafunge kula hadi wafe ili wawe wa kwanza kwenda mbinguni, umeanza. Mpasuaji mkuu wa serikali ya Kenya,Johansen Oduor, ndiye…

Waziri Uganda auwa kwa kupigwa risasi na mlinzi wake

Mwanajeshi wa Jeshi la Uganda amempiga risasi na kumuua waziri katika Serikali ya Uganda ambaye alikuwa akimlinda. Kanali mstaafu Charles Okello Engola, ambaye alikuwa Naibu Waziri wa Kazi, alipigwa risasi nyumbani kwake katika mji mkuu, Kampala, Jumanne asubuhi. Haijajulikana wazi…

Waliojiua wakitaka kukutana na Yesu wafukuliwa

Polisi nchini Kenya walisema Ijumaa kwamba wamefukua miili ya watu watatu, inayodhaniwa kuwa ya wafuasi wa dhehebu la kidini wanaoaminika walijiua kwa njaa, mashariki mwa nchi hiyo wakati wakati polisi imepanua uchunguzi wake. “Mchakato wa kufukua miili bado unaendelea na…

Tanzania kushirikiana na nchi za EAC kulinda rasilimali za uvuvi ziwa Victoria

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kushirikiana na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhakikisha rasilimali za uvuvi katika Ziwa Victoria zinalindwa ili zinufaishe jamii zinazozunguka ziwa hilo na mataifa husika kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…

Wanajeshi 320 wa Sudan wakimbilia Chad wakitoroka mapigano

Takriban wanajeshi 320 wa Sudan walitoroka mapigano yanayoendelea nchini Mwao hadi nchi jirani ya Chad, waziri wa ulinzi wa Chad alisema Jumatano. Waziri wa ulinzi Jenerali Daoud Yaya Brahim aliuambia mkutano wa waandishi wa habari kwamba “Waliwasili kwenye ardhi yetu,…

Wanne wafariki Kenya ‘wakiwa wamefunga kukutana na Yesu’

Watu wanne walipatikana Alhamisi wakiwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini katika kaunti ya pwani ya Kilifi nchini Kenya, baada ya kuokolewa wakisubiri ‘mwisho wa dunia unaokaribia’. Polisi walisema kundi hilo lilipatikana katika msitu walimokuwa wakiishi kwa siku…