Category: Kimataifa
Wataliban wapandisha bendera ya utawala
KABUL, AFGHANISTAN Wanamgambo wa Taliban wamepandisha bendera nyeupe kwenye jengo la rais kuashiria mwanzo wa utawala wao katika taifa la Afghanistan. Hatua hiyo imefikiwa baada ya operesheni ya kuleta amani iliyoanzishwa na Marekani ndani ya taifa hilo kukoma. Ripoti za…
Taliban, waasi watwangana kudhibiti ngome ya mwisho
PANJSHIR, AFGHANISTAN Wanamgambo wa Taliban wametafuna ng’ombe mzima ila mkia unataka kuwashinda. Mkia unaotaka kuwashinda upo katika ngome ya waasi iliyopo katika Mkoa wa Kaskazini wa Panjshir unaozungukwa na milima na mabonde. Waasi wa Panjshir wameamua kupigana kufa au kupona…
Uhuru Kenyatta ajipanga nyuma ya Raila
NAIROBI, KENYA Joto la kisiasa nchini Kenya linazidi kupanda kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Katika hatua iliyoshitua siasa za nchi hiyo, wiki iliyopita Rais Uhuru Kenyatta alitangaza hadharani kuwa anaunga mkono upande wa upinzani chini ya kinara wao Raila…
Taliban waikamata Afghan taratibu
KABUL, AFGHANISTAN Kitendo cha Marekani kuondoa majeshi yake nchini Afghanistan kumewaachia uhuru wanamgambo wa kundi la kigaidi la Taliban ambao wameanza kuiteka miji muhimu nchini humo. Taarifa kutoka Afghanistan zinaeleza kuwa katika kipindi cha mwezi mmoja tu wanamgambo hao tayari…
Rwanda yawachapa waasi Msumbiji
MAPUTO, Msumbiji Bataliani ya jeshi la Rwanda inaripotiwa kutinga kaskazini mwa Msumbiji na kufanya mashambulizi makubwa dhidi ya kikundi cha kigaidi kinachoua hovyo raia. Ndani ya wiki mbili tu, kikosi hicho cha kwanza kutoka nje ya nchi kupelekwa kupambana na…
CHANJO YA CORONA Samia, Lissu wawatoa hofu Watanzania
*Lissu: Kauli za akina Gwajima zilikuwapo miaka 100 iliyopita *Adai ni upotoshaji wa sayansi ya tiba unaofunikwa na msalaba *NIMR yasema majaribio ya chanjo yalianza kwa wanyama NA WAANDISHI WETU Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua chanjo…