Category: Kimataifa
Israel yaendelea kufanya mashambulizi Iran
ISRAEL imesema alfajiri ya leo kuwa inaendelea kufanya mashambulizi ndani ya Iran ikiwemo kwenye mji mkuu Tehran. Hayo ni wakati duru kutoka Marekani zinasema Washington inajiandaa kuishambulia Iran mnamo siku za karibuni. Jeshi la Israel limetoa indhari ya kuondoka kwa…
Mapigano kati ya Israel na Iran yaingia siku ya sita
MASHAMBULIZI ya makombora kati ya Iran na Israel yameendelea leo kwa siku ya sita licha ya wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka Iran isalimu amri bila masharti. Mashambulizi ya makombora kati ya Iran na Israel yameendelea leo…
Umoja wa Mataifa kupunguza misaada ya kiutu duniani kote
Umoja wa Mataifa umesema kwamba unalazimika kupunguza kwa kiasi kikubwa mipango yake ya misaada ya kibinadamu duniani kote kutokana na kukatwa kwa ufadhili. Umoja wa Mataifa umesema kwamba unalazimika kupunguza kwa kiasi kikubwa mipango yake ya misaada ya kibinadamu duniani…
Netanyahu: Tutabadili sura ya Mashariki ya Kati
WAZIRI Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kwamba kampeni yake dhidi ya Iran “itabadili sura ya Mashariki ya Kati”, wakati nchi hizo mbili zikiendelea kushambuliana vikali kwa siku ya tano. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kwamba kampeni yake…
Israel, Iran zatishiana kufanya uharibifu, mzozo wafukuta zaidi
Israel imefanya wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumapili wakati Tehran nayo ikijibu kwa makombora mapya. Pande zote mbili zimetishia kufanya uharibifu zaidi katika mzozo ambao unaonekana kufukuta zaidi. Mamlaka za Israel zimewaelekeza raia kuelekea kwenye maeneo…
Mameya wa Los Angeles wamtaka Trump kuondowa wanajeshi
Mameya kadhaa wa eneo la Los Angeles wameungana pamoja kuutaka utawala wa Trump kusimamisha uvamizi dhidi ya wahamiaji ambao umeleta wasiwasi na kuchochea maandamano kote nchini Marekani. Mameya hao wakiwa na wajumbe wa mabaraza ya miji walimtaka Trump siku ya…





