Category: Kimataifa
Marekani yaitaka Rwanda kuondoa majeshi yake Congo kabla ya makubaliano
Marekani inataka makubaliano kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kujumuisha Rwanda kuyaondoa majeshi yake kutoka Mashariki mwa Congo kabla pande hizo mbili kutia saini makubaliano ya amani. Duru zinaarifu kuwa rasimu ya makubaliano ya amani inaanisha kuwa…
Iran yatishia kushambulia kambi za Marekani
Waziri wa Ulinzi wa Iran Aziz Nasirzadeh, amesema nchi hiyo itajibu mgogoro wowote utakaotokea iwapo majadiliano ya nyuklia kati ya Jamhuri hiyo ya kiislamu na Marekani yatafeli. Nasirzadeh amesema taifa lake litakuwa tayari kushambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizopo…
Ruto alaani kuuwawa mwanablogu mikononi mwa polisi Kenya
Rais wa Kenya William Ruto Jumatano amelaani mauaji ya mwanablogu mmoja nchini humo yaliyotokea katika seli ya Polisi alimokuwa akishikiliwa, tukio lililozusha hasira miongoni mwa Wakenya. Awali polisi ya Kenya ilikuwa imesema kuwa Albert Ojwang, aliyekamatwa kwa chapisho aliloliweka kwenye…
Trump apeleka wanajeshi zaidi Los Angeles
WAANDAMANAJI wanaopinga kukamatwa kwa wahamiaji wamekusanyika Los Angeles kwa siku ya nne mfululizo. Polisi imesema waandamanaji wanaweka vizuiwizi kwenye barabara kadhaa, na ikatangaza kuzifunga baadhi ya barabara. Hii inajiri baada ya serikali ya Rais Donald Trump kuamuru kupelekwa kwa karibu…
Marufuku ya kusafiri ya Trump ya nchi 12 kuanza kutekelezwa
Marufuku mpya ya kusafiri ya Rais Donald Trump ambayo inazuia raia wa nchi 12 kuingia Marekani ilianza kutekelezwa saa 00:00 ET (05:00 BST) Jumatatu. Agizo hilo ambalo Trump alitia saini wiki iliyopita, linawazuia raia wa Afghanistan, Myanmar, Chad, Congo-Brazzaville, Equatorial…
Iran: Tutatoa pendekezo jipya la nyuklia kwa Marekani
Iran kupitia msemaji wa wizara ya mambo ya nje Esmaeil Baqaei, imesema hivi karibuni itawasilisha pendekezo la kupinga makubaliano ya nyuklia na Marekani, baada ya kusema kuwa pendekezo hilo lina utata. “Hivi karibuni tutawasilisha pendekezo letu kwa upande mwingine ambao…





