JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Kim Jong Un aapa kuendelea kuisaidia Urusi ‘bila masharti’

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameapa kuendelea kuiunga mkono Urusi katika maeneo yote ikiwa ni pamoja na katika vita vyake nchini Ukraine. Vyombo vya habari vya Serikali ya Pyongyang vimesema mapema leo kwamba Kim Jong Un alipokutana na…

Rais Trump azuia raia kutoka mataifa 12 kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini tangazo la kupiga marufuku raia wa mataifa 12 kuingia nchini humo. Katika awamu yake ya kwanza Trump aliwazuia watu kutoka mataifa saba yenye Waislamu wengi kuingia Marekani. Vyombo vya habari va nchini Marekani…

Trump kukutana na Putin na Zelensky

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na marais wa Ukraine na Urusi nchini Uturuki baada ya pande hizo mbili kushindwa kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano. Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alipendekeza kuwa Rais wa Urusi Vladimir…

Lee Jae-myung achaguliwa kuwa rais mpya Korea Kusini

Mgombea wa kiliberali nchini Korea Kusini, Lee Jae-myung, ameshinda uchaguzi wa urais nchini humo dhidi ya mpinzani wake wa kihafidhina Kim Moon Soo. Mgombea wa kiliberali nchini Korea Kusini,  Lee Jae – myung ameshinda uchaguzi wa urais nchini humo dhidi ya…

Raia wa China watuhumiwa kuingiza kimagendo ‘kiini hatari’ nchini Marekani

Raia wawili wa China wanatuhumiwa kuingiza nchini Marekani kuvu ambayo maafisa wanasema ni “kiini hatari cha kibaolojia”. Yunqing Jian, 33, na Zunyong Liu, 34, wameshtakiwa kwa kula njama, kusafirisha bidhaa, kutoa taarifa za uongo na ulaghai wa viza, Ofisi ya…

Raia wa Korea Kusini wamchagua rais mpya

Mamilioni ya raia wa Korea Kusini wanapiga kura hii leo kumchagua rais mpya katika uchaguzi wa mapema baada ya Rais Yoon Suk Yeol kuondolewa madarakani. Kura zote za maoni zimemuweka mbele mgombea wa kiliberali, Lee Jae-myung, huku utafiti wa karibuni…