Category: Kimataifa
Waziri Mkuu wa Romania ajiuzulu
Waziri Mkuu wa Romania Marcel Ciolacu amejiuzulu jana jioni, siku moja baada ya mwanasiasa wa upinzani wa mrengo mkali wa kulia kushinda duru ya kwanza ya uchaguzi wa marudio wa rais. Ciolacu alisema chama chake cha Social Democrats kinajiondoa kutoka…
Urusi, Ukraine zashambuliana licha ya juhudi za upatanishi
MAKUBALIANO kati ya Urusi na Ukraine yameendelea kushuhudiwa kutwa nzima jana Jumatatu na usiku wa kuamkia leo huku kila upande ukionesha ubavu kwa kushambulia ndani ya ardhi ya mwingine. Urusi iliishambulia mikoa miwili ya mashariki mwa Ukraine ikiwemo Sumy na…
Pakistan yafanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu
Pakistan imefanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu huku Iran ikimtuma waziri wake wa mambo ya nje kujaribu kuyapatanisha mataifa hayo mawili yenye silaha za nyuklia. Taarifa ya Pakistan iliyotolewa hivi leo imeeleza kuwa jeshi la nchi hiyo…
Netanyahu aapa kulipa kisasi baada ya kombora la Houthi
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kulipiza kisasi dhidi ya Wahouthi baada ya kombora lililorushwa na kundi hilo kupiga uwanja wa ndege wa Israel. Katika video iliyowekwa kwenye mitandao ya kijamii, Netanyahu alitishia kufanya shambulio akisema: “Tulishambulia siku za…
Trump aamuru kufunguliwa tena kwa jela ya ‘watukutu’
Rais wa Marekani Donald Trump ameamuru kufunguliwa tena na kutanuliwa kwa jela kubwa ya Alcatraz iliyokuwa ikitumika kuwafunga wahalifu waliotiwa hatiani kwa makosa ya kutisha. Jela hiyo iliyokuwapo kwenye jimbo la California ilifungwa zaidi ya miaka 60 iliyopita na hivi…
Israel yaanza kuwaita askari wa akiba kuimarisha operesheni zake Gaza
JESHI la Israel limeanza kuwaita makumi kwa maelfu ya askari wa akiba ili “kuimarisha na kupanua” operesheni zake huko Gaza. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema “linaongeza shinikizo” kwa lengo la kuwarejesha mateka waliokuwa wameshikiliwa huko Gaza na kuwashinda…