JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Trump : Nitafanya makubaliano ya kibiashara na ‘nchi inayoheshimika sana’

Rais wa Marekani Donald Trump amekejeli kile alichokiita “mkataba mkuu wa kibiashara”, ambao utakuwa makubaliano ya kwanza kutangazwa tangu atoze ushuru kwa makumi ya washirika wa kibiashara wa Marekani. Atafanya mkutano wa waandishi wa habari saa 10:00 huko Washington DC…

Usitishaji mapigano wa Urusi waanza kutekelezwa Ukraine

Mpango wa upande mmoja wa kusitisha mapigano uliotangazwa na Moscow umeanza kutekelezwa muda mfupi baada ya saa sita usiku. Usitishaji huo wa mapigano kwa saa 72 unatarajiwa kudumu hadi saa sita usiku Jumamosi kuamkia Jumapili. Rais wa Urusi Vladmir Putin…

Makadinali washindwa kumchagua papa mpya duru ya kwanza

Moshi mweusi umetoka kwenye chimni ya Kanisa la Sistine ishara kuwa makadinali wameshindwa kumchagua kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki katika duru yao ya kwanza ya kura ya kongamano lao. Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika katika viwanja vya Mtakatifu Petro kusubiri…

Makadinali 133 wajumuika Vatican kumchagua mrithi wa Papa

Makadinali 133 kutoka sehemu mbalimbali za dunia wamejumuika mjini Vatican kushiriki zoezi muhimu na la kihistoria la kumchagua papa atakayemrithi hayati Papa Francis aliyeongoza Kanisa Katoliki kwa miaka 12. Mjumuiko huu maarufu kama conclave umeanza shughuli hiyo katika kanisa dogola …

Wazazi wanaotafuta haki ya ‘kifo cha huruma’ kwa mtoto wao aliye kitandani miaka 12

Nirmala Rana, mwenye umri wa miaka 60, ameketi kando ya kitanda cha mwanawe mwenye umri wa miaka 30, Harish. Mwaka 2013, Harish, akiwa mwanafunzi wa uhandisi wa ujenzi, alianguka kutoka ghorofa ya nne ya jengo katika jiji la kaskazini mwa…

Baraza Maalumu la kumchagua Papa kuanza leo Vatican

Baraza Maalumu la Siri kwa ajili ya kumchagua kiongozi mpya wa kanisa katoliki duniani, litaanza baadaye leo kwenye Makao Makuu ya Kanisa Katoliki mjini Vatican. Makadinali 133 kutoka kila pembe ya dunia watakusanyika kwenye kanisa dogo la Sistine kuanza zoezi…