JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mke, mume wafungwa kifungo cha maisha kwa mauaji ya mtoto

Mahakama moja ya Uingereza imetoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa baba na mama wa kambo wa mtoto wa miaka 10 raia wa Uingereza mwenye asili ya Kipakistani aliyekufa baada ya kuteswa kwa muda mrefu. Urfan Sharif, mwenye umri wa…

Jaji akataa hoja ya Trump ya kutaka atupilie mbali kesi aliyopatikana na hatia

Jaji wa mahakama ya New York ameamua kuwa hatia aliyopatikana nayo Donald Trump katika kesi ya kutoa pesa za kutunza siri ni halali, amekataa hoja ya rais mteule kwamba hatia hiyo inapaswa kutupiliwa mbali kutokana na uamuzi wa Mahakama ya…

Trump aahidi tena kumaliza “mauaji” ya vita vya Ukraine

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema atafanya mazungumzo na viongozi wa Ukraine na Urusi kumaliza alichokitaja kuwa “umwagaji damu usiomithilika” kutokana na vita vya karibu miaka mitatu baina ya nchi hizo mbili. Akizungumza kwa mara ya kwanza na waandishi…

Wawili wauawa kwa kupigwa risasi na mwanafunzi Marekani

Mwanafunzi mmoja amefyatua risasi katika shule ya binafsi ya Kikristo katika Jimbo la Wisconsin Marekani, na kujeruhi watu sita na kumuua mwalimu na mwanafunzi. Mkuu wa Polisi wa Madison Shon Barnes alimtaja mshambuliaji huyo kuwa mwanafunzi wa kike mwenye umri…

Hatma ya Rwanda, DRC Congo bado haijulikani

Mazungumzo yaliyopangwa kufanyika Jumapili ya viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumaliza mzozo wa Mashariki mwa Congo yamefutwa baada ya majadiliano kukwama. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mpatanishi wa Umoja wa Afrika kwa  ajili ya kumaliza…

Meli mbili za mafuta za Urusi zaharibiwa katika Bahari Nyeusi

Meli mbili za mafuta za Urusi zimeharibika vibaya katika Bahari Nyeusi, na kusababisha mafuta kumwagika, mamlaka nchini Urusi imesema. Picha zilizotolewa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Uchukuzi Kusini mwa Urusi zilionyesha moja ya meli ikiwa imeharibika kabisa, huku mafuta…