JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Jopo la wasuluhishi laundwa kumaliza mzozo wa Kongo

Mkutano wa kilele uliowaleta pamoja wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika, SADC, na Jumuiya ya Afrika Mashariki, umeunda jopo la wasuluhishi katika mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kwa mujibu wa tangazo…

Marekani, Urusi zakabiria muafaka kuhusu Ukraine

Maafisa wa Marekani na Urusi wamekamilisha mazungumzo ya siku moja jana Jumatatu, wakiangazia pendekezo la mapatano ya kusitisha vita baharini kati ya Kyiv na Moscow, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kidiplomasia zinazonuwiwa kuchangia mazungumzo mapana ya amani. Lakini hata…

Waandishi kadhaa wakamatwa Uturuki

Vyombo vya usalama Uturuki vimewatia nguvuni waandishi kadhaa waliokuwa wanaripoti kuhusu maandamano ya kupinga kukamatwa kwa meya wa Istanbul. Mamlaka ya Uturuki zimewakamata waandishi kadhaa wa habari siku ya Jumatatu kama sehemu ya shinikizo dhidi ya maandamano yaliyoibuka baada ya…

Mgogoro Mashariki mwa DRC wazidi kuibua wasiwasi wa kikanda

Hali ya wasiwasi inazidi kuikumba Kongo Mashariki katikati mwa mapigano kati ya vikosi vya serikali na waasi wa M23 huku nchi jirani ya Burundi ikielemewa na mzingo wa wakimbizi, na Angola ikijitoa kuwa msuluhishi. Mgogoro unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya…

M23 yaendelea kuwepo Walikale licha ya kutangaza kujiondoa

Kundi la waasi wa M23 limeendelea kushikilia mji muhimu wa Walikale, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, licha ya awali kutangaza mpango wa kuondoka ili kutoa nafasi kwa mazungumzo ya amani. Kundi linaloungwa mkono na Rwanda la M23 lilitangaza…

Mashambulizi ya RSF yauwa watu watatu Omdurman

Raia watatu wameuawa Jumapili katika shambulizi la makombora lililofanywa na kikosi cha RSF katika eneo la Omdurman karibu na Khartoum, siku mbili tu baada ya jeshi la Sudan kutwaa tena ikulu ya rais katika mji mkuu huo. Raia watatu wameuawa…