JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Biden: Ukraine inahitaji kuendelea kusaidiwa kwa udharura

Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga mkono Ukraine. Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga…

Israel yaendeleza mashambulizi Gaza na kuuwa watu 17

Wapalestina 17 wameuawa kwenye mashambulizi ya kijeshi ya Israel katika Ukanda wa Gaza, wakati vikosi vya Israel vikiendeleza mashambulizi kwenye maeneo ya kati na kuvisogeza vifaru vyao kaskazini na kusini mji huo. Watu sita waliuauwa katika mashambulizi mawili tofauti ya…

Putin: Mashambulizi ya Ukraine ni ujumbe mkali kwa Magharibi

Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema mashambulizi makali ya angani yaliyoilenga miundombinu ya nishati ya Ukraine yalikuwa jibu kwa Kyiv kuyapiga maeneo ya Urusi kwa kutumia makombora iliyopewa na nchi za Magharibi. Akiahidi kuwa Moscow siku zote itajibu matumizi ya…

Israel yaishambulia Hezbollah licha usitishwaji mapigano

Wakati maelfu ya raia wa Lebanon wakirejea kwenye makazi yao, Israel imesema inaendelea kupambana na wanamgambo wa Hezbollah licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano. Kulingana na taarifa iliyotolewa na msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari, wanajeshi wa Israel jana…

P Didy kuuona mwaka mpya gerezani

Mahakama ya New York, Marekani imetupilia ombi la Msanii, Sean “Diddy” Combs la kutaka kuachiliwa kwa dhamana na kuishi katika nyumba binafsi (Appartment) wakati akisubiri kesi inayomkabili ya mashtaka ya usafirishaji wa Binadamu kwa ajili ya unyanyasaji wa kingono kuanza…

Watu 30 wahofiwa kufa kwenye maporomoko ya ardhi Uganda

Takribani watu 30 wanahofiwa kufa baada ya kutokea maporomoko ya ardhi katika kijiji kimoja mashariki mwa Uganda. Hayo yamesemwa na afisa mmoja wa eneo hilo aliyeonya kuwa idadi hiyo huenda ikapanda. Mkuu wa Wilaya ya Bulambuli, Faheera Mpalanyi ameliambia shirika…