Category: Kimataifa
Wazima moto wapambana kuzuia moto mkubwa Los Angeles
MAELFU ya watu waliolazimika kuondoka katika makaazi yao kutokana na moto mkubwa mjini Los Angeles, Marekani hawatarejea kwenye makaazi yao kwa angalau siku nne zijazo. Mkuu wa kikosi cha zima moto wa Los Angeles Anthony Marrone amesema upepo mkali unaovuma…
Kisiwa cha Mayotte kukabiliwa na kimbunga kipya Jumamosi
Kimbunga Chido kilisababisha uharibifu mkubwa, na kuua watu wasiopungua 39 na kujeruhi wengine zaidi ya 5,600 katika kisiwa hicho ambacho kinakaliwa na Ufaransa mashariki mwa Afrika. Wakazi wa kisiwa cha Mayotte wanajiandaa kwa dhoruba ya upepo mkali na mvua kubwa…
Watu 21 wauawa katika shambulizi la genge nchini Nigeria
MSEMAJI wa Polisi ya Nigeria, Abubakar Sadiq Aliyu, amesema msafara wa wanamgambo wa serikali ulishambuliwa kwa bunduki na majambazi huko Baure, kijiji katika wilaya ya Safana. Wanamgambo wapatao 21 wanaoiunga mkono serikali ya Nigeria wameuawa katika shambulizi la kuvizia na…
Moto wa nyika Los Angeles ulisababishwa na nini?, watu 137 wakimbia miji yao
Moto wa nyika ambao umekuwa vigumu kudhibitiwa unateketeza sehemu za Los Angeles, na kusababisha vifo vya takriban watu watano, kuharibu mamia ya majumba, na kulazimisha zaidi ya watu 130,000 kukimbia kutoka majumbani mwao katika jiji la pili kwa ukubwa Marekani….
Mahakama ya Juu Marekani yakataa ombi la Trump la kusitisha hukumu dhidi yake
Mahakama ya Juu nchini Marekani imetupilia mbali ombi la Rais mteule Donald Trump la kusitisha hukumu dhidi yake hii leo Ijumaa katika kesi inayomkabili ya uhujumu uchumi Trump alipatikana na hatia ya kughushi nyaraka kwa lengo la kuficha kiwango halisi…
Mkuu wa jeshi achaguliwa kuwa rais wa Lebanon
Bunge la Lebanon limemchagua mkuu wa jeshi la nchi hiyo kuwa rais, na kumaliza ombwe la mamlaka lililodumu kwa zaidi ya miaka miwili. Joseph Aoun uliungwa mkono na vyama kadhaa vya kisiasa, pamoja na Marekani, Ufaransa na Saudi Arabia. Mpinzani…