JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

UN: Majanga ya mazingira yaliwaacha wengi bila makazi 2024

Umoja wa Mataifa umesema kuwa mamia kwa maelfu ya watu walilazimika kukimbia majanga ya kimazingira mwaka jana, ikiashiria haja ya kuwepo mifumo ya tahadhari ya mapema kwa dunia nzima. Umoja wa Mataifa umesema kuwa mamia kwa maelfu ya watu walilazimika…

Emir wa Qatar awakutanisha Kagame, Tshisekedi

Marais wa Rwanda na DR Kongo wamekutana Jumanne nchini Qatar na kuelezea uungaji mkono wao kwa usitishaji mapigano, ilisema taarifa ya pamoja, siku moja baada ya mazungumzo ya amani nchini Angola kuvunjika. Umoja wa Ulaya hivi karibuni uliwawekea vikwazo makamanda…

Urusi na Ukraine zashambuliana baada ya mawasiliano ya Putin na Trump

Urusi na Ukraine zimeanzisha mashambulizi ya anga ambayo yaliharibu miundombinu ya kila mmoja wao, saa chache baada ya Rais Vladimir Putin kusema Urusi itaacha kuyalenga maeneo ya nishati ya Ukraine. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema malengo ya Urusi ni…

Bunge la Ujerumani kupitisha kuzuia kikomo cha ukopaji

Bunge la Ujerumani linalomaliza muda wake linatarajiwa kupitisha mpango mkubwa wa kuzuia ukomo wa serikali kukopa ambao umewasilishwa na vyama vitatu vya CDU/CSU na SPD vinavyotarajiwa kuunda serikali mpya ya mseto. Friedrich Merz anayetazamiwa kuwa Kansela ajaye wa Ujerumani anaupigia…

Putin akataa kusitisha vita, akubali kusitisha mashambulizi ya nishati Ukraine

Rais Vladimir Putin amekataa usitishaji vita wa mara moja na kamili nchini Ukraine, akikubali tu kusitisha mashambulizi kwenye miundombinu ya nishati, kufuatia mazungumzo yake na Rais wa Marekani Donald Trump. Kiongozi huyo wa Urusi alikataa kutia saini usitishaji vita wa…

Wanaanga waliokwama angani kwa miezi tisa warejea duniani

Baada ya miezi tisa angani, wanaanga wa Nasa Butch Wilmore na Suni Williams hatimaye wamerejea duniani. Chombo chao cha angani cha kampuni ya SpaceX kilitua kwa kasi kupitia angahewa ya Dunia, kabla ya miamvuli minne kufunguliwa ili kuwapeleka kwenye pwani…