JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mashambulizi ya Israel yaua watu 19 Gaza

Takribani Wapalestina 19, wakiwemo watoto wanane, wameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel kusini mwa Gaza usiku kucha, wanasema maafisa wa afya wa eneo hilo. Mama mmoja na watoto wake wanne waliripotiwa kuuawa katika kambi ya mahema ya watu waliokimbia…

Trump aendelea kutishia kudhibiti Greenland na rasi ya Panama

Rais mteule Donald Trump ameendelea kutoa vitisho vya kudai kumiliki Greenland na rasi ya Panama, akisema maeneo haya ni muhimu kwa usalama wa taifa la Marekani. Alisisitiza kuwa Marekani inayahitaji kwa usalama wa kiuchumi na kijeshi, akisema Greenland ni muhimu…

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Marekani Jimmy Carter kuagwa Januari 9

Jeneza la aliyekuwa Rais wa Marekani, Jimmy Carter, likiwa limefunikwa kwa bendera, liko katika Jimbo la Capitol tangu jana Januari 7, 2025 huko Washington, DC. Mwili wa Carter utaagwa katika Jimbo la Capitol Rotunda hadi ibada ya mazishi ifanyike katika…

Umoja wa Ulaya waituhumu Urusi kutumia gesi kama silaha

UMOJA wa Ulaya umeituhumu Urusi kwa kutumia “gesi kama silaha” na kuanzisha vita vya kila upande nchini Moldova, ambako jimbo lililojitenga la Transnistria limekuwa halina gesi kutoka Urusi tangu tarehe Januari Mosi. Kupitia ujumbe kwenye mtandao wa X hapo jana,…

Urusi, Ukraine zaendelea kukabiliana vikali Kursk

URUSI imesema vikosi vyake vilifanya mashambulizi makali dhidi ya vikosi vya Ukraine katika mkoa wake wa magharibi wa Kursk, ambako jeshi la Ukraine liliripoti ongezeko la mapigano katika masaa 24 yaliyopita. Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi wa Ukraine, siku…

Marekani yaishutumu Urusi kwa kufadhili vita Sudan

Marekani imeishutumu Urusi kwa kufadhili pande mbili zinazopigana nchini Sudan, hatua inayoonekana kusisitiza madai ya awali ya Washington kwamba Moscow imekuwa ikichochea kuendelea kwa mgogoro huo. Akizungumza katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa jana Jumatatu, Balozi…