JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Wahouthi waisaidia Urusi kuwapeleka Wayemen kupigana Ukraine

Kutokana na hasara kubwa kutokana na uvamizi wake nchini Ukraine, Urusi imeimarisha idadi ya vikosi vyake kutumia wanajeshi kiasi 10,000 wa Korea Kaskazini. Urusi inawasajili wanaume kutoka Yemen waende kupigana vita nchini Ukraine kupitia msaada wa waasik wa Houthi nchini Yemen. Hayo…

Mgombea wa upinzani Yamandu Orsi ashinda urais Uruguay

Matokeo rasmi yanaonesha Yamandu Orsi, ameshinda asilimia 49.81 ya kura iklinganishwa na Alvaro Delgado ambaye amejikingia asilimia 45.90 ya kura. Rais mhafidhina wa Uruguay Luis Lacalle Pou amempigiaa simu na kumpongeza mgombea wa upinzani Yamandu Orsi kama rais mteule wa…

Shambulizi la droni la Ukraine lazua moto Kaluga, Urusi

UKRAINE imekuwa ikikabiliana na uvamizi wa Urusi kwa zaidi ya miaka miwili na nusu. Urusi imekuwa ikiyashambulia maeneo ya Ukraine wakati wa usiku kutumia makombora ya masafa marefu. Mabaki ya droni za Ukraine yaliyokuwa yakianguka yamesababisha moto katika kituo cha…

Gachagua: Ruto sasa tunakujua wewe ni mtu wa aina gani

Naibu Rais aliyetimuliwa madarakani nchini Kenya Rigathi Gachagua amedokeza kurejea kwa kishindo kisiasa Januari 2025 baada ya kufanya mashauriano na wakazi wa eneo la Mlima Kenya. Akizungumza wakati wa ibada ya kanisa mjini Murang’a siku ya Jumapili, Gachagua amesema kuwa…

Shambulizi la Israel Beirut laua watu 11

Mashambulizi ya anga ya Israel katikati mwa jiji la Beirut yamesababisha vifo vya takriban watu 11 na kuporomosha jengo la makazi huku Israel ikiendelea na kampeni yake ya anga dhidi ya Hezbollah. Shambulio hilo lilifuatiwa na mengine katika vitongoji vya…

Putin: Urusi itatumia kombora jipya katika vita

Urusi ina akiba ya makombora mapya yenye nguvu “tayari kutumika”, Rais Vladimir Putin amesema, siku moja baada ya nchi yake kurusha kombora jipya la masafa marefu katika mji wa Dnipro nchini Ukraine. Katika hotuba aliyoitoa katika runinga ambayo haijaratibiwa, kiongozi…