JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Idadi ya watu waliofariki tetemeko la ardhi Tibet yafikia 95

Takriban watu 95 wamethibitishwa kufariki na wengine 130 kujeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga eneo la milima la Tibet Jumanne asubuhi, vyombo vya habari vya Serikali ya China vinasema. Tetemeko la ardhi lililokumba mji mtakatifu wa Tibet wa…

Trump bado anakabiliwa na hukumu ya kumlipa kahaba

RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump, bado anakabiliwa na uwezekano wa kuhukumiwa wiki hii kwenye kesi yake ya kumlipa kahaba, baada ya jaji kukataa kusitisha hukumu wakati Trump akiukatia rufaa uamuzi dhidi yake. Jaji wa Mahakama ya Manhattan, Juan M….

Tembo amuua mtalii aliyekuwa akimwogesha Thailand

Tembo amemuua mwanamke mmoja raia wa Uhispania alipokuwa akimwogesha mnyama huyo katika kituo cha tembo nchini Thailand, wamesema polisi wa eneo hilo. Blanca Ojanguren GarcĂ­a, 22, alikuwa akiosha tembo katika Kituo cha Kutunzia Tembo cha Koh Yao, siku ya Ijumaa…

Mtalii wa Israel afariki katika Hifadhi ya Ngorongoro

Mtalii wa Israel ambaye utambulisho wake haujabainishwa (mwanamke) amefariki na wengine watano kujeruhiwa katika ajali ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumapili Januari 5, 2025 na Kaimu Meneja Uhusiano wa NCAA,…

Raia wa China wakamatwa Congo wakiwa na dhahabu yenye thamani ya bilioni 1.9/-

Raia watatu wa China wametiwa mbaroni wakiwa na vipande 12 vya dhahabu na dola 800,000 za Kimarekani katika sehemu ya mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, kwa mujibu wa Gavana wa Mkoa wa Kivu kusini Jean Jacques Purusi. Dhahabu…

Polisi waombwa kumkamata rais wa Korea Kusini

Ofisi ya Kupambana na Ufisadi wa Maafisa wa Ngazi za Juu ya Korea Kusini imeliomba jeshi la polisi kuchukuwa jukumu la kumtia nguvuni rais aliyendolewa madarakani na bunge, Yoon Suk Yeol. Ombi hilo ni baada ya maafisa wake kushindwa kumuweka…