Category: Kimataifa
Biden akosoa ‘uharibifu’ wa Trump wa mashirika ya kijamii
RAIS wa zamani wa Marekani Joe Biden ameikosoa vikali serikali ya Donald Trump kwa kile alichokiita “uharibifu wa haraka” wa mashirika ya kijamii akisema hatua hiyo itaathiri zaidi ya Wamarekani milioni 65. Katika hotuba yake ya kwanza kubwa tangu aondoke…
WHO: Mazingira ya hospitali za Gaza ni duni na hayaelezeki
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa mazingira ndani ya hospitali ya Gaza ni ya kutamausha baada ya taasisi hiyo kushambuliwa kwa makombora na Israel. Msemaji wa WHO Dkt. Margaret Harris ameiambia BBC kuwa ukanda wa Gaza unashuhudia mashambulizi mara…
Urusi : Sio rahisi kufikia amani Ukraine na Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov amesema kuwa sio rahisi kufikia makubaliano na Marekani kuhusu vipengele muhimu vya makubaliano ya amani yanayoweza kusitisha vita nchini Ukraine. Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye anasema anataka kukumbukwa kama mleta…
Marekani: Vifaa vya simu,elekroniki vyapandishwa ushuru
RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema simu za mikononi zilizotengenezwa na China na vifaa vingine vya kielektroniki havitaondolewa kwenye ushuru badala yake vimehamishiwa kwenye fungu tofauti la ushuru. Masoko ya hisa ya Ulaya yaliimarika kuanzia Jumatatu asubuhi baada ya tangazo…
Viongozi wa dunia walaani shambulio la Urusi Ukraine
VIONGOZI wa dunia wamelaani shambulizi la makombora la Uris dhidi ya Ukraine siku ya Jumapili, moja ya mashambulizi mabaya zaidi katika miezi kadhaa, huku Rais wa Marekani Donald Trump akiliita “jambo baya” na “kosa.” Viongozi wa dunia wamelaani vikali Urusi…
Israel yatangaza kutanua mashambulizi Ukanda wa Gaza
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz ametangaza kuwa jeshi lake linapanga kuongeza mashambulizi kwenye maeneo mengi ya Ukanda wa Gaza na amewaamuru wakaazi waondoke katika sehemu zenye mapambano. Ametoa tangazo hilo wakati jeshi la Israel likidai kuwa limeuzingira mji…





