JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Balozi wa Marekani nchini Kenya ajiuzulu

Balozi wa Marekani nchini Kenya, Meg Whitman, ametangaza kujiuzulu kwake, hatua aliyowasilisha kwa Rais Joe Biden na kuwafahamisha wafanyakazi wa ubalozi huo Jumatano, Novemba 13, 2024. Whitman alieleza kuwa amefurahia nafasi yake katika kuimarisha ushirikiano kati ya Marekani na Kenya,…

Trump amteua Susie Wiles kuwa Mtendaji Mkuu wa Ikulu

RAIS mteule wa Marekani Donald Trump amemteua Susie Wiles kuwa afisa mkuu wa utumishi wa ikulu ya White House. Huo ni uteuzi wa kwanza wa Trump baada ya ushindi wake kwenye uchaguzi wa Novemba 05 dhidi ya Kamala Harris. Kupitia…

Mashirika ya ndege yasitisha safari za Haiti baada ya ndege kupigwa risasi

Mashirika kadhaa ya ndege yamesitisha safari za kuelekea Haiti baada ya ndege ya abiria kutoka Marekani kupigwa risasi ilipokuwa ikijaribu kutua Port-au-Prince. Ndege ya Spirit Airlines 951 kutoka Fort Lauderdale huko Florida ilielekezwa katika nchi jirani ya Jamhuri ya Dominika,…

Mwandishi wa habari katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 ashinda tuzo ya haki za binadamu

Mwandishi wa habari aliyefungwa katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 bila kushtakiwa ameshinda tuzo ya haki za binadamu ya Sweden kwa kujitolea kwake kwa uhuru wa kujieleza. Dawit Isaak, ambaye ana uraia wa Eritrea na Sweden, alipewa Tuzo ya…

Machafuko ya kisiasa yaripotiwa kuelekea uchaguzi wa wabunge Senegal

Nchini Senegal, kuelekea uchaguzi wa wabunge siku ya Jumapili, muungano wa mashirika 46 ya kiraia unaonya kuwepo kwa ongezeko la machafuko ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni.. Mashirika ya kiraia yanayofuatilia mwenendo wa kampeni hizo katika maeneo mbalimbali ya…

Rwanda yapeleka msaada wa kibinadamu Gaza

Serikali ya Rwanda imepeleka shehena ya misaada ya kibinadamu zaidi ya tani 19 za chakula,vyakula vya watoto, dawa na vifaa vya matibabu kusaidia wananchi wa Gaza. “Rwanda itaunga mkono  jitihada za kimataifa katika kutoa misaada ya kibinadamu kwa wananchi wa…