JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Trump aahidi tena kumaliza “mauaji” ya vita vya Ukraine

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema atafanya mazungumzo na viongozi wa Ukraine na Urusi kumaliza alichokitaja kuwa “umwagaji damu usiomithilika” kutokana na vita vya karibu miaka mitatu baina ya nchi hizo mbili. Akizungumza kwa mara ya kwanza na waandishi…

Wawili wauawa kwa kupigwa risasi na mwanafunzi Marekani

Mwanafunzi mmoja amefyatua risasi katika shule ya binafsi ya Kikristo katika Jimbo la Wisconsin Marekani, na kujeruhi watu sita na kumuua mwalimu na mwanafunzi. Mkuu wa Polisi wa Madison Shon Barnes alimtaja mshambuliaji huyo kuwa mwanafunzi wa kike mwenye umri…

Hatma ya Rwanda, DRC Congo bado haijulikani

Mazungumzo yaliyopangwa kufanyika Jumapili ya viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumaliza mzozo wa Mashariki mwa Congo yamefutwa baada ya majadiliano kukwama. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mpatanishi wa Umoja wa Afrika kwa  ajili ya kumaliza…

Meli mbili za mafuta za Urusi zaharibiwa katika Bahari Nyeusi

Meli mbili za mafuta za Urusi zimeharibika vibaya katika Bahari Nyeusi, na kusababisha mafuta kumwagika, mamlaka nchini Urusi imesema. Picha zilizotolewa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Uchukuzi Kusini mwa Urusi zilionyesha moja ya meli ikiwa imeharibika kabisa, huku mafuta…

38 wauawa magharibi mwa Darfur

Watu 38 wameuawa Magharibi mwa jimbo la Darfur nchini Sudan, baada ya wanamgambo wa RSF kutumia ndege isiyokuwa na rubani, kutekeleza shambulio hilo. Wanamgambo wa RSF wamerusha makombora manne kuwalenga watu kwa mujibu wa wanaharakati, wanaosema mashambulio yameendelea kuongeza katika…

Somalia Ethiopia kumaliza mivutano ya kikanda

Serikali ya Marekani imepongeza hatua ya makubaliano yaliyofikiwa na Somalia na Ethiopia ya kumaliza mivutano ya kikanda, iliyochochewa na shinikizo la Ethiopia la ufikiaji salama wa baharini. Katika taarifa maalum iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony…