Category: Kimataifa
UN: Hali ya Gaza ni ya kutisha na ni janga kubwa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas akisema hali ya Gaza ni ya kutisha na janga kubwa ambalo ulimwengu hauwezi kuendelea kupuuza. Kauli ya Guterres ilitolewa katika…
Trump ayaonya mataifa ya BRICS dhidi ya kutafuta mbadala wa dola
Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametishia kutoza ushuru wa asilimia 100 kwa muungano wa mataifa tisa wa BRICS iwapo yataunda sarafu pinzani dhidi ya dola ya Marekani. “Wazo kwamba Nchi za BRICS zinajaribu kujiepusha na Dola huku sisi tukiwa…
Israel yafanikiwa kulizuia kombora kutoka Yemen
Mamlaka ya ulinzi wa anga ya Israel imesema imefanikiwa kulizuia kombora ambalo limefyatuliwa kutoka Yemen. Asubuhi ya mapema ya jana ving’ora vya mashambulizi ya anga vilisikika karibu na Tel Aviv na katika maeneo mengine. Tovuti ya habari ya Israel ynet…
Makabiliano yazuka kati ya raia wenye hasira na wapiganaji wa Wagner Bambari
Katika kikiji cha Bambari, katikati mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati, msafara wa wanajeshi wa Urusi kutoka kundi la Wagner waliwashambulia kwa gari watu walipokuwa wakifanya mazoezi ya gwaride kwa ajili ya sikukuu ya kitaifa, Desemba 1. Wakiwa na hasira,…
Biden: Ukraine inahitaji kuendelea kusaidiwa kwa udharura
Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga mkono Ukraine. Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga…
Israel yaendeleza mashambulizi Gaza na kuuwa watu 17
Wapalestina 17 wameuawa kwenye mashambulizi ya kijeshi ya Israel katika Ukanda wa Gaza, wakati vikosi vya Israel vikiendeleza mashambulizi kwenye maeneo ya kati na kuvisogeza vifaru vyao kaskazini na kusini mji huo. Watu sita waliuauwa katika mashambulizi mawili tofauti ya…