Category: Kimataifa
Biden ajitoa kwenye kinyang’anyiro cha urais Marekani
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kusitisha kampeni za kuwania muhula wa pili wa urais na kusema amechukua uamuzi huo ”kwa maslahi ya chama chake na nchi.” Uamuzi wa Biden kujitoa kwenye mbio za urais umekuja ikiwa imesalia miezi minne…
Afrika Mashariki Kukabiliwa na Malaria Sugu,
Wanasayansi duniani wameziomba Mamlaka za Afya barani Afrika kuchukua tahadhari dhidi ya malaria sugu ambayo inadaiwa kuwa mamilioni ya watu wako hatarini kuambukizwa. Taarifa zinasema kuwa viwango vya dawa vimeonekana kutofanya kazi katika baadhi ya maeneo kutoka chini ya asilimia…
Trump aridhia kuwa mgombea urais wa Republican
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekubali rasmi uteuzi wa kuwania urais kwa tiketi ya Chama cha Republican katika mkutano mkuu uliotawaliwa zaidi na jaribio la mauaji dhidi yake. Katika hotuba yake ya dakika 90, Trump ametoa ahadi kemkem…
Makubaliano ya kuweka chini silaha DRC yarefushwa siku 15
Ikulu ya Marekani imesema makubaliano ya kusitisha mapigano na kuruhusu misaada ya kiutu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamerefushwa kwa siku 15 zaidi ambapo sasa yatafika Agosti 3. Msemaji wa Baraza la Kitaifa la Usalama la Ikulu ya Marekani,…
Rais Biden asitisha kampeni baada ya kugundulika na UVIKO
Ikulu ya Marekani White House imesema rais wa taifa hilo, Joe Biden amegundulika kuwa na virusi vya UVIKO-19 na kuonesha dalili za athari za wastani za virusi hivyo. Msemaji wake, Karine Jean-Pierre amesema Biden aliyekuwa tayari amepata chanjo hiyo na…
Wanasayansi wagundua pango la makazi mwezini
Kwa mara ya kwanza wanasayansi wamegundua pango la makazi mwezini. Pango hilo lenye kina cha mita 100, linaweza kuwa mahali pazuri kwa wanadamu kujenga makazi ya kudumu. “Ni moja tu kati ya mamia ya mapango yaliyofichwa katika ulimwengu wa chini…