JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine

Shambulizi la droni la Urusi lililolenga jumba la makazi katika mji wa Sumy, mashariki mwa Ukraine, limesababisha vifo vya watu tisa. Rais Volodymyr Zelensky amelielezea shambulizi hilo kama janga kubwa la uhalifu wa Urusi, akisisitiza umuhimu wa dunia kuongeza shinikizo…

Ebola yathibitishwa Uganda, muuguzi afariki Kampala

Muunguzi mwenye umri wa miaka 32 alifariki katika mji mkuu wa Uganda, Kampala, kutokana na ugonjwa wa Ebola, Wizara ya Afya ya nchi hiyo ilithibitisha siku ya Alhamisi Wizara ya Afya ya Uganda imethibitisha Alhamisi mlipuko wa ugonjwa wa Virusi vya…

Kiongozi wa M23 : Hatuondoki Goma, tunaitaka Kinshasa

Kiongozi wa kisiasa wa kundi la waasi la M23 Corneille Nangaa ameapa kuwa wapiganaji wake hawatauachia mji wa Gomana kudokeza kuhusu azma ya kusonga mbele hadi mji mkuu Kinshasa. Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi. Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda ambao…

Kisanduku cheusi cha ndege iliyoanguka Washington DC chapatikana

Maafisa wamepata kifaa cha kurekodi data na kinasa sauti cha ndege, kinachojulikana kama kisanduku cheusi, kutoka kwa ndege ya American Airlines, chanzo kilithibitishwa na mshirika wa BBC wa Marekani CBS News. Kisanduku cheusi kinaweza kusaidia kutoa vidokezo kuhusu kile ambacho…

Mahujaji 15 wafariki kwenye mkanyagano India

Zaidi ya watu 15 wamefariki kwenye mkanyagano katika mkusanyiko mkubwa wa kidini  huku wengine wakijeruhiwa. Mahujaji wa kihindu walikuwa wakikimbilia mito mitakatifu kwa ajili ya ibada ya kujitakasa, waliwakanyaga watu waliokuwa wamekaa pembezoni mwa mito hiyo na kusababisha janga hilo….

20 wafariki baada ya ndege kuanguka Sudan Kusini

Ndege ndogo iliyokuwa ikibeba wafanyakazi wa kisima cha mafuta kilichopo Jimbo la Unity, Sudan Kusini, imeanguka na kuua watu 20. Waziri wa Habari wa Jimbo la Unity, Gatwech Bipal, amesema ndege hiyo ilianguka asubuhi jana Jumatano kwenye uwanja wa ndege…