JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Kesi ya Donald Trump yatupiliwa mbali na jaji wa mahakama

Huku hatua ya mwanasheria Jack Smith ya kufuta mashtaka ya kuingilia uchaguzi wa 2020 dhidi ya Donald Trump, moja ya vitisho vya mwisho vya kisheria vilivyosalia dhidi ya rais mteule imegeuka kuwa majivu na kupeperushwa na upepo. Smith pia anatupilia…

Ndege ya mizigo yaanguka Lithuania, mmoja afariki

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka karibu na uwanja wa ndege wa Vilnius nchini Lithuania Ndege hiyo, inayoendeshwa kwa DHL na Shirika la Ndege la Uhispania la Swiftair, ilianguka karibu na nyumba…

Hezbollah yarusha makombora ndani ya Israel baada ya shambulizi la Beirut

Jeshi la Israel linasema takribani roketi 250 zimerushwa na Hezbollah kuvuka mpaka kutoka Lebanon, na kuashiria moja ya mashambulizi makali zaidi ya Israel tangu mapigano yalipozidi mwezi Septemba. Watu kadhaa walijeruhiwa na majengo kuharibiwa kaskazini na kati mwa Israel, baadhi…

Wahouthi waisaidia Urusi kuwapeleka Wayemen kupigana Ukraine

Kutokana na hasara kubwa kutokana na uvamizi wake nchini Ukraine, Urusi imeimarisha idadi ya vikosi vyake kutumia wanajeshi kiasi 10,000 wa Korea Kaskazini. Urusi inawasajili wanaume kutoka Yemen waende kupigana vita nchini Ukraine kupitia msaada wa waasik wa Houthi nchini Yemen. Hayo…

Mgombea wa upinzani Yamandu Orsi ashinda urais Uruguay

Matokeo rasmi yanaonesha Yamandu Orsi, ameshinda asilimia 49.81 ya kura iklinganishwa na Alvaro Delgado ambaye amejikingia asilimia 45.90 ya kura. Rais mhafidhina wa Uruguay Luis Lacalle Pou amempigiaa simu na kumpongeza mgombea wa upinzani Yamandu Orsi kama rais mteule wa…

Shambulizi la droni la Ukraine lazua moto Kaluga, Urusi

UKRAINE imekuwa ikikabiliana na uvamizi wa Urusi kwa zaidi ya miaka miwili na nusu. Urusi imekuwa ikiyashambulia maeneo ya Ukraine wakati wa usiku kutumia makombora ya masafa marefu. Mabaki ya droni za Ukraine yaliyokuwa yakianguka yamesababisha moto katika kituo cha…