JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Polisi 200 zaidi wa Kenya waelekea Haiti

Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya waliondoka Jumatatu usiku kuelekea Haiti, chini ya mpango unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa unaolenga kumaliza ghasia za magenge ya wahalifu katika taifa hilo la Caribbean. Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya…

Muuaji wa wanawake 42 Kenya akamatwa akiwa klabu

Jeshi la Polisi nchini Kenya limetangaza kumkamata kijana Collins Jumaisi Khalusha (33) ambaye amekiri kuwaua Wanawake 42, baada ya kugunduliwa kwa miili tisa iliyokatwakatwa na kutupwa jalalani pembezoni mwa Mji mkuu wa Nairobi. kwa mujibu wa mkurugenzi wa makosa ya…

Biden ataka Wamarekani watulize joto la kisiasa

Rais wa Marekani Joe Biden Jumatatu ametoa wito kwa raia wa nchi hiyo kutuliza joto la kisiasa kufuatia jaribio la kumuua hasimu wake katika uchaguzi ujao Donald Trump huko Pennsylvania Jumamosi. Akizungumza na taifa kupitia afisi ya Oval kwenye ikulu…

Miili ya watu 8 yagunduliwa kwenye dampo la takataka Nairobi

Jeshi la polisi nchini Kenya limesema kuwa miili ya wanawake 8 iliyokuwa kwenye dampo katika eneo moja la makazi duni imepatikana jijini Nairobi. Jeshi hilo limeongeza kuwa kwa sasa linachunguza ili kupata uhusiano kati ya tukio hilo na masuala ya…

Kanisa Katoliki lalaani shambulio dhidi ya Trump

Viongozi mbalimbali duniani wameendela kulaani jaribio la mauaji dhidi ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump. Trump alishambuliwa kwa risasi Jumamosi alipokuwa kwenye kampeni ya uchaguzi huko huko Pennsylvania. Baada ya kauli za viongozi wa Umoja wa Mataifa, Umoja…

Polisi wachunguzwa kuhusu miili iliyotupwa Kenya

Mamlaka huru inayosimamia Jeshi la Polisi nchini Kenya IPOA imesema inachunguza polisi waliohusika kwa njia yoyote kufuatia ugunduzi wa miili iliyokatwakatwa na kutupwa kwenye shimo la jalala mjini Nairobi. Awali polisi walisema miili kadhaa iliyokatwakatwa ya wanawake sita iliyofungwa kwenye…