Category: Kimataifa
Israel yathibitisha mashambulizi dhidi ya meli za kivita za Syria
Israel imethibitisha kufanya mashambulizi dhidi ya meli za kivita za Syria, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuondosha mali za kijeshi nchini humo baada ya kuanguka kwa utawala wa Assad. Katika taarifa yake jeshi la ulinzi la Israel (IDF)…
Netanyahu kutoa ushahidi mahakamani leo kuhusu tuhuma za ufisadi
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anatarajiwa kutoa ushahidi mahakamani leo wa tuhuma za rushwa. Waendesha mashtaka wamemshutumu kwa kutoa makubaliano ya kisheria kwa wamiliki wa vyombo vya habari ili kupata habari chanya, na kukubali zawadi na faida za gharama…
Benki ya Dunia yapunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi Kenya 2024
Benki ya Dunia yapunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya 2024 hadi asilimia 4.7 kutokana na changamoto za kifedha Benki ya Dunia imepunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya kwa mwaka huu hadi asilimia 4.7 siku ya Jumanne,…
Kiongozi wa upinzani wa Uganda Besigye afikishwa mahakamani
Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Kizza Besigye na mshtakiwa mwenzake, Obeid Lutale wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Kampala, huku kukiwa na ulinzi mkali. Wawili hao wanakabiliwa na mashtaka manne yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, tuhuma ambazo wanakanusha. Leo,…
WHO yachunguza mripuko wa ugonjwa usiojulikana DRC
Shirika la Afya Duniani WHO limesema hapo jana kuwa linaendelea na uchunguzi kuhusu mripuko wa ugonjwa usiojulikana uliogundulika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Katika mkoa wa Panzi, ulioko zaidi ya kilomita 700 kutoka mji mkuu Kinshasa, maambukizi 406 yameripotiwa…
Rais wa Korea Kusini Yoon atakiwa kujiuzuku kwenye chama chake
Rais Yoon Suk Yeol wa Korea Kusini ambaye alitangaza sheria ya kijeshi ametakiwa kuondoka kwenye chama chake cha People’s Power Party. Kiongozi wa chama hicho Han Dong-hoon aliwaambia waandishi wa habari “amemtaka rais huyo kujiuzulu” kutoka kwa chama. Hata hivyo…




