Category: Kimataifa
Watu 30 wahofiwa kufa kwenye maporomoko ya ardhi Uganda
Takribani watu 30 wanahofiwa kufa baada ya kutokea maporomoko ya ardhi katika kijiji kimoja mashariki mwa Uganda. Hayo yamesemwa na afisa mmoja wa eneo hilo aliyeonya kuwa idadi hiyo huenda ikapanda. Mkuu wa Wilaya ya Bulambuli, Faheera Mpalanyi ameliambia shirika…
Jumuiya ya NATO yaihakikishia Ukraine msaada
Jumuiya ya kujihami ya NATO na Ukraine zimefanya mkutano wa dharura baada ya Urusi hivi karibuni kuishambulia Ukraine kwa kutumia kombora la kuvuka mabara. Nchi za magharibi zimejibu kwa kujiamini jana Jumanne vitisho vya mashambulizi ya makombora na matumizi ya…
Watu 5 wafariki ajali ya ndege Costa Rica
Maafisa wa uokoaji waliyapata mabaki ya ndege kwenye eneo la milima lakini ilichukua saa kadhaa kwa timu kufika eneo la ajali. Shirika la Msalaba Mwekundu liliripoti Jumanne aliyenusurika alikuwa amepelekwa hospitali. Shirika la msalaba mwekundu limesema watu watano wamekufa baada…
Kumkamata Netanyau haitoshi lazima apate adhabu ya kifo – Iran
Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi wa Iran katika hotuba yake katika kikao na “Wanajeshi wa nchi nzima” alisema “Waranti ya kukamatwa kwa Netanyahu kwa uhalifu wa kivita haitoshi, ni lazima hukumu yake ya kifo itolewe.” Pia alisema: “Adui hajashinda huko Gaza…
Kesi ya Donald Trump yatupiliwa mbali na jaji wa mahakama
Huku hatua ya mwanasheria Jack Smith ya kufuta mashtaka ya kuingilia uchaguzi wa 2020 dhidi ya Donald Trump, moja ya vitisho vya mwisho vya kisheria vilivyosalia dhidi ya rais mteule imegeuka kuwa majivu na kupeperushwa na upepo. Smith pia anatupilia…
Ndege ya mizigo yaanguka Lithuania, mmoja afariki
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka karibu na uwanja wa ndege wa Vilnius nchini Lithuania Ndege hiyo, inayoendeshwa kwa DHL na Shirika la Ndege la Uhispania la Swiftair, ilianguka karibu na nyumba…





