JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Gachagua: Ruto sasa tunakujua wewe ni mtu wa aina gani

Naibu Rais aliyetimuliwa madarakani nchini Kenya Rigathi Gachagua amedokeza kurejea kwa kishindo kisiasa Januari 2025 baada ya kufanya mashauriano na wakazi wa eneo la Mlima Kenya. Akizungumza wakati wa ibada ya kanisa mjini Murang’a siku ya Jumapili, Gachagua amesema kuwa…

Shambulizi la Israel Beirut laua watu 11

Mashambulizi ya anga ya Israel katikati mwa jiji la Beirut yamesababisha vifo vya takriban watu 11 na kuporomosha jengo la makazi huku Israel ikiendelea na kampeni yake ya anga dhidi ya Hezbollah. Shambulio hilo lilifuatiwa na mengine katika vitongoji vya…

Putin: Urusi itatumia kombora jipya katika vita

Urusi ina akiba ya makombora mapya yenye nguvu “tayari kutumika”, Rais Vladimir Putin amesema, siku moja baada ya nchi yake kurusha kombora jipya la masafa marefu katika mji wa Dnipro nchini Ukraine. Katika hotuba aliyoitoa katika runinga ambayo haijaratibiwa, kiongozi…

Biden: Hatua ya ICC dhidi ya maafisa wa Israel ni ‘ya kuchukiza’

Rais wa Marekani Joe Biden ameghadhabishwa na hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhali wa Jinai, ICC- iliyotoa hati ya kumkamata Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, kuhusiana na mashtaka ya uhalifu wa kvita huko Gaza. Marekani si mwanachama lakini…

Kenya yafuta ushirikiano na Kampuni ya India ya Adani Group

Rais wa Kenya, William Ruto, ametangaza kufuta mikataba ya ubia kati ya serikali na kampuni ya India ya Adani Group, ikiwemo ule wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) na mamlaka ya umeme. Rais Ruto alitaja madai…

Urusi yaipa Korea Kaskazini mapipa milioni moja ya mafuta

Urusi inakadiriwa kuipatia Korea Kaskazini zaidi ya mapipa milioni moja ya mafuta tangu Machi mwaka huu, kulingana na uchambuzi wa picha za satelaiti kutoka kwa Open Source Centre, kikundi cha utafiti kisicho cha faida chenye makao yake makuu nchini Uingereza….