JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Pochi ya Rais Samia yafunguka, bil. 98.893 kuimarisha elimu ya sekondari Mbeya na Mtwara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya Shilingi Bilioni 98.893 kwa ajili ya kuimarisha sekta ya elimu katika mkoa wa Mbeya na Mtwara. Fedha hizo zimetolewa kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa…

Umoja wa mataifa wazidi kuliamini JWTZ

Lakabidhiwa mradi wa ujenzi wa madaraja kupitia MINUSCA Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeendelea kuthibitisha umahiri na uaminifu wake katika operesheni za kimataifa baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Ujumbe wa Kulinda Amani nchini Jamhuri ya Afrika…

Mwaka Mpya wa Kiislam Muharram kuja na maonyesho kuhudumia jamii

Na Magrethy Katengu -JamhuriMedia,Dar es Salaam Katika kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kiislam 1447 Wananchi wameshauriwa kuhudhuria Viwanja vya Mnazi Mmoja kupata huduma katika Maonyesho Muharram Expo ikiwemo huduma za Afya bure,Elimu ya Kifedha,na kutoadamu. Akizungumza na waandishi wa habari ,Jijini…

Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta hauathiri shughuli za kiutendaji za wananchi

📌 Watenga maeneo maalumu ya vivuko vya Wananchi na wanyama kuondoa usumbufu wakati ujenzi ukiendelea *📌Wapongeza Serikali kwa kasi ya ujenzi inayoendelea eneo la kutandaza mabomba ardhini na utoaji ajira kwa wazawa *📌 Vipande takribani 86,000 kutumika kwenye ujenzi wa…

17 washikiliwa kwa tuhuma za mauaji Pwani – RPC Morcase

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la polisi mkoani Pwani, linawashikilia watuhumiwa 17 wakiwemo waliokuwa viongozi wa Serikali za mtaa kwa kosa la mauaji ya Sebastian Moshi (33) mkazi wa Ubungo, Kibangu jijini Dar es salaam yaliyotokea, kata ya Mapinga,…