Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu ahani msiba wa Mzee Mongela
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 3 amehani msiba wa Mzee Silvin Ibengwe Mongella ambaye ni mume wa Mama Getrude Mongella, nyumbani kwa marehemu Makongo Juu jijini Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jukumu la kupandisha mishahara ni la mwajiri- Serikali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema jukumu la kuwapandisha vyeo watumishi ni la mwajiri husika. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu alipokuwa akijibu swali la…
Wabunge wapitisha bajeti Wizara ya Afya, kuhakikisha mifumo hospitali kusomana
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wabunge leo Juni 3, 2025 wamepitisha bajeti ya Wizara ya Afya yenye makadirio ya Sh 1,618,191,235,000.00, ili kuweza kutekeleza malengo na vipaumbele iliyojiwekea kwa mwaka 2025/26. Jana Waziri wa Afya Jenista Mhagama, aliwasilisha bungeni hotuba…
Aliyefungwa arejea na mgogoro mpya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Licha ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kutishia kuua kwa panga, Albert Midimito, maarufu kwa jina la Chemli, amerudi kijijini na kuibua mgogoro mpya wa ardhi unaohusisha familia yake, huku mjane…
Padri Kitima aongoza misa ya shukrani baada ya kutoka hospitalini
Na Pascal Mwanache, TEC Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, ameongoza Misa Takatifu ya shukrani kwa mara ya kwanza leo, Juni 3, 2025, baada ya kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa kwa takribani mwezi mmoja…
Vitongoji 284 Arumeru Mashariki vyafikia na umeme
📌 Ni kati ya Vitongoji 330 vya Jimbo la Arumeru Mashariki. 📌Kapinga asema upelekaji umeme unafanyika kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma…