Category: MCHANGANYIKO
Yah: Kama nikichaguliwa kuwa rais nitafanya yafuatayo
Wanangu, ningependa mpokee mawazo yangu muone, je, kuna tija yoyote ya kuwa mbele katika mambo ambayo mimi niko nyuma kama wazee wengine wa zamani; na kwamba uzembe huo wa kutokwenda na wakati ninyi mwendao na wakati mmefanikiwa kwa kiwango gani!
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!
Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali – kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
- Mbio za Urais 2025, vyama 17 vyapeta, ACT Wazalendo nje
- Dk Biteko azindua teknolojia ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji
- Mndolwa awataka watumishi wapya NIRC kuzingatia uadilifu katika utumishi
- REA yaendelea kuwaunganishia umeme wananchi Manyara
- Rais Dkt. Samia azungumza na Wazee, Ikulu Chamwino, Dodoma
Habari mpya
- Mbio za Urais 2025, vyama 17 vyapeta, ACT Wazalendo nje
- Dk Biteko azindua teknolojia ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji
- Mndolwa awataka watumishi wapya NIRC kuzingatia uadilifu katika utumishi
- REA yaendelea kuwaunganishia umeme wananchi Manyara
- Rais Dkt. Samia azungumza na Wazee, Ikulu Chamwino, Dodoma
- Rais Dkt. Samia azungumza na Wazee, Ikulu Dodoma
- Jela maisha kwa kumkaba mwanafunzi wa darasa la tano
- Rais Mwinyi : Zanzibar imepiga hatua kubwa kulinda haki za wanawake
- Samia arejesha fomu ya urais, CCM yatia nia kwa mara nyingine kuipeleka Tanzania juu zaidi
- DC Nyasa awataka wananchi kutambua umuhimu wa lishe bora
- Polisi yatoa wito kwa wagombea na wafuasi kuzingatia sheria, kampeni kuanza kesho
- Mgombea nafasi ya urais CCM arejesha fomu INEC kugombea nafasi hiyo
- Madaktari China wampandikiza binadamu mapafu ya nguruwe
- Nchimbi amkabidhi ofisi Dk Migiro, aahidi kuendeleza uimara
- Tanzania kunufaika na fursa lukuki kupitia ushirikiano wa Afrika na Singapore