JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi Magu waishukuru Serikali kuwapatia hati za hakimiliki za kimila

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Magu Wananchi wa vijiji vitatu vya Chandulu, Salama, Mwabulenga vilivyopo kata ya Ng’haya wilaya ya Magu mkoa wa Mwanza wameishukuru serikali kwa uamuzi wake wa kuwapimia na kuwamilikisha maeneo yao kwa kuwapatia Hati za Hakimilki za…

Utendaji kazi Wizara ya Nishati na Taasisi zake waimarika

📌 Wapanda kutoka asilimia 95 hadi 96.16 katika kipindi cha robo mwaka 📌 Mhandisi Mramba asema ongezeko hilo linaakisi utoaji wa huduma kwa wananchi 📌 Apongeza Taasisi kuendelea kuboresha utoaji huduma kwa Wananchi. 📌 Asisitiza mitandao ya kijamii kutumika ipasavyo…

Kigida chaokoa afya na mazingira katika uchechuaji dhahabu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Tume ya Madini imeendelea kutoa elimu kwa wachimbaji kuhusu matumizi ya Kigida (Retort), kifaa kinachosaidia kulinda afya za wachimbaji, mazingira na kupunguza gharama za matumizi ya zebaki katika uchenjuaji wa dhahabu. Akizungumza kwenye Maonesho ya…

Tanzania yaungana na nchi nyingine Duniani kuadhimisha Siku ya Wafamasia

Na Mwandishi Wetu ,JamhuriMedia,Dar es Salaam Hospitali zote hazina budi kuanzishwa kwa huduma za Kifamasia Tabibu katika Hospitali kuanzia ngazi ya Rufaa Kanda,Mikoa hadi vituo cha afya Ameyasema hayo Septemba 25, 2025 Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi…

Zanzibar kuendelea kushirikiana na wadau Sekta ya Ustawi na Hifadhi ya Jamii

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza kuwa itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya ustawi na hifadhi ya jamii ili kuhakikisha utimilifu wa afua za hifadhi ya jamii Zanzibar. Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi wa SMZ,…

Dk Samia kumwaga sera za CCM Pwani Septemba 28

Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kampeni mkoani Pwani, Septemba 28, mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,…