JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TPHPA yazindua kifaa cha DNA kutambua magonjwa ya mimea kwa dakika 20

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imezindua rasmi kifaa cha kisasa chenye teknolojia ya utambuzi wa vinasaba (DNA) chenye uwezo wa kutambua kwa haraka visababishi vya magonjwa, wadudu na changamoto…

ACT Wazalendo: Tengenezeni wagombea watakaoleta mwelekeo chanya nchini

Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam MWENYEKITI wa Chama cha ACT -Wazalendo Othman Masoud Othman,amewataka wanachama wa chama hiko wasiwaangushe Watanzania kwa kutengeneza wagombea, si wa kutafuta kura za ACT Wazalendo bali kunajenga mwelekeo wa kisera na kisiasa kuwaondoa Wananchi kwenye…

EACOP yachangia milioni 100 kwa watoto wa magonjwa ya moyo JKCI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki EACOP Umetoa mchango wa shilingi milioni 100 kwa ajili ya matibu ya watoto 25 wenye matatizo mbalimbali ya moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya…

Tulia:Rejesheni mikopo na wengine wakopeshwe

Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Ackson ameyataka Makundi Maalam yanayokopeshwa Mikopo ya fedha za asilimia 10% za kuwasaidia, Kurejesha marejesho…

Nyasi bahari ni dawa ya mabadiliko ya tabianchi

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Tanga Mabadiliko ya tabianchi huathiri nyasi bahari kwa njia mbalimbali lakini pia nyasi bahari huaribiwa na shughuli za kibinadumu. Muonekano wa bustani za nyasi baharini unaweza usiwe wa kupendeza kama miamba ya matumbawe au kama misitu…